juvenile davis
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 4,752
- 4,475
- Thread starter
- #181
Ninao watatu wa mama tofauti,SEAN,TRAVIS na MOUREENhahahaha bro we unao wangapi
Ninao watatu wa mama tofauti,SEAN,TRAVIS na MOUREENhahahaha bro we unao wangapi
Fanya haraka sanaduuh hongera jombaa ngoja nami nifanye mpango maana nw nina 26yrs
Chagua tusi mwenyewe kabla mods hawajajana mtu niliye zaa nae siyo mke ni mwanamke wa mtu nimemuachisha kwa mume wake kule kazaa watoto 2 ila kwangu nilimwambiya akinizaliya inje ndiyo nitamuoa sasa kazaa na oporesheni na mtoto aliyo zaliwa ni mweupe sanaa mie ni mweusi na baba watoto wake ni mweupe je hapo ! na nyumba nimemununukiya gari na vitu vyandani vyotee na kazi nimemuachisha namlipa mimi !mke wangu hazai
Haya prove wewe kiasi kichungu.we nae kwa post hii unaprove ukiazi kitamu yaani wewe ni kiazi haswaaaaaaaaa!
Kama wewe ni mwanaume au mwanamke na umetimiza miaka 27 lakini huna hata mtoto wa kusingiziwa na hata kutoa mimba hujawahi basi unapaswa kujichunguza huenda una matatizo ya kizazi.
Haiwezekani mtu anaefanya ngono hadi kufikisha umri huo hana mtoto, hilo ni tatizo maana maisha ya sasa ni mafupi sana! Sasa kama hutaacha legacy basi ni hatari sana kwako au subiri tu kuitwa babu au bibi na watoto wako.
Wenzako wanaacha kuzaa wewe ndio unaanza![]()
![]()
![]()
Yeah...Yeah.... that's great mindhahah.. mi mbona nina umri huo ila sioni issue... kwanza sina plan ya kuoa /kuzaa hadi nigonge 30 hivi.. na hapo kama sijanunua Discovery 4 ..sizai wala kuoa,
Kwani wewe ukizaa mapema hutazeeka?Inawezeka ndio,kuna watu wana watoto watatu na wanakaa single room,usikuze mambo wewe,utazeeka
Sio kwelina mtu niliye zaa nae siyo mke ni mwanamke wa mtu nimemuachisha kwa mume wake kule kazaa watoto 2 ila kwangu nilimwambiya akinizaliya inje ndiyo nitamuoa sasa kazaa na oporesheni na mtoto aliyo zaliwa ni mweupe sanaa mie ni mweusi na baba watoto wake ni mweupe je hapo ! na nyumba nimemununukiya gari na vitu vyandani vyotee na kazi nimemuachisha namlipa mimi !mke wangu hazai
Wewe huzai bila shakaKwanza dunia hii ya leo hakuna mwanamke anayetaka kubebeshwa mimba alafu kesho yake haijui ipoje,nyie ndo wale baba zenu wana walea mpaka mnafia manyumbani kwenu,kwahili mkuu umefeli