FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,886
- 109,217
Leo 30/08/2023 kuna Mbunge Mwanamke simfahamu jina lake, nilikuwa namuona kaketi nyuma wakati Nape anawasilisha kutokea kwenye "podium", amevaa "evening dress" ya kifua wazi bungeni.
Ni aibu kwa Bunge letu ikiwa wabunge hata "dress codes" hawaelewi, wawe wanakwenda wabobezi wa mitindo wawafunde Wabunge wetu hususan kama huyo dada mjinga mjinga namna ya kuvaa.
Hivi alikuwa anatangaza biashara au kaenda kuwakilisha wananchi wake? Mavazi hayo avae akitoka kazini na akiwa mumewe (kama anae) nyumbani, kwa mbunge hayafai kuvaa kabisa mbele ya jamii.
Si huyo tu, "dress codes" kuwa "violated" imekuwa ni kitu cha kawaida bungeni, Tanzania.
Nawasilisha.
Ni aibu kwa Bunge letu ikiwa wabunge hata "dress codes" hawaelewi, wawe wanakwenda wabobezi wa mitindo wawafunde Wabunge wetu hususan kama huyo dada mjinga mjinga namna ya kuvaa.
Hivi alikuwa anatangaza biashara au kaenda kuwakilisha wananchi wake? Mavazi hayo avae akitoka kazini na akiwa mumewe (kama anae) nyumbani, kwa mbunge hayafai kuvaa kabisa mbele ya jamii.
Si huyo tu, "dress codes" kuwa "violated" imekuwa ni kitu cha kawaida bungeni, Tanzania.
Nawasilisha.