franktemu123
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 1,406
- 1,480
Hakuna waziri atakayejiuzulu nakuhakikishia ukiona waziri mkuu anatoa hotuba ujue ndo imetoka hiyo. Hakuna jipya hapya
geuza antena mkuu
Sijui anaongea nini, yupo ktk Elimu 10 mins, utashangaa ataanza kilimo, mifugo, afya, mahindi, maharagwe, mchicha, ng'ombe, nguruwe, mbolea, utalii, ardhi, mito, maziwa, bahari, anga, mvua, kiangazi, njaa, simba, yanga, kidato cha 4, std 7.. Walimu, wafugaji, wagonjwa, wafu, vichaa, madaktari, mkoa wa Mara, Mwatex, umeme, viwanda, maji, ukimwi, soko, pamba, ajira, umaskini, muda umeisha.... Speaker kaongeza muda..... Mkutano, atamaliza saa 5 ucku, na katupoteza wote, i am exhausted..... Now yupo A to Z alitembelea Minjingu.... Leo mtakoma, sasa Sanflag..... Jesus Christ..... leo ni leo....
Hiiiii kaanza Minjingu, sulphur, phosphorous, nitrate....
Mama yangu...... Kote alikotembelea kasema....sensa sasa.... Heeeeeh....
Sensaaaaaa weee 26 August 2012
Mawaziri WANACHEKAAAAA kisiri siri WANAJUA IMEPITAAA HIYOOOO.....