Mhe. Pinda aahirisha Bunge hadi Juni 12, 2012

Mhe. Pinda aahirisha Bunge hadi Juni 12, 2012

waungwana tusubiri amalize then tujadil ila ndo kama anamaliza na hamna k2
 
Nimechoka sasa. Na log off sasa hivi!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Pinda amedhihirisha uimara wa serikali yake,
Ninaamini kabisa kuwa serikali ya CCM itafanya maamuzi magumu very soon, lakini kiongozi imara haendeshwi na wapiga kelele, lazima utafiti, uchambue na kujiaminisha kabla ya kutoa maamuzi.
Hongera JK na Serikali, nimewapa heshima mnayostahili na tuna imani mtafanyia kazi maoni sio kuburuzwa na wachache wenye tamaa na nia binafsi.

HAHAHAHAHAHA umeamka baada ya kusikia hitimisho??> habari ya asubuhi?? rejao ameamka salama? Ritz anaendeleaje na ugonjwa wake?

 
Wengi walitarajia kusikia maamuzi magumu kama ya Lowasa kutoka kwa Pinda lakini naye kang'ang'ana. Kilichobaki ni nguvu ya umma.
 
Mheshimiwa PM ameshakamilisha hotuba ya kuahirisha bunge, kapotezea hoja ya kujiuzulu...Duh! Bongo ni zaidi ya uijuavyo
 
Naomba kutoa hoja. Hahahahahahaha. Upepo huo umepita. Teh
.
"WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".
 
Kuna mambo mengine mpaka uyafanye inatakiwa uwe fyatu kidogo!
 
Kamalizaaaaa.... Huyu ndio PM.... CCM kwishney.....
 
ha ha ha ha ha ha ha!
Ha ha ha ha!
Siasa za kiutu uzima hizi...chezea JK nyinyi.
 
Gooooooooooooooooo ni goli Pm kapiga goli la kisigino wapenzi wasikilizaji
 
Back
Top Bottom