Mhe. Pinda aahirisha Bunge hadi Juni 12, 2012

Mhe. Pinda aahirisha Bunge hadi Juni 12, 2012

kama itaisha hivi hivi hakika tuko kwenye janga, siamini kabisa. Hebu tuone hadi mwisho. Jamaa yupo anatoa story hamna kitu.
 
huyu jamaa kwa nin hatak kusema wananchi wanachohtaj kusikia?
 
nina mtoto amemaliza la saba hajuwi kusoma wala kuandika. tena mwanafunzi aliyesoma dar es salaam. huyu pinda anaongea u_pupu gani hapa?

aya ndio mambo ya kujadili mkuu,tukipata suluisho tutapiga hatua kelele azisaidii.
 
Dah, magembe kalilax sana, hamna wa kujiuzulu, intelinjensia inaonyesha hivyo.
 
Ninayo mawe hapa asipojiuzuru nampopoa si huyu namuona na suti nyeusi halafu anashabikia simba ukumbi mzima red. Tujiandae kumpopoa hapahapa...sitanii hata plasma naivunja
 
Huyu jamaa mbona anaongelea yaleyale ya kila siku wanayoshindwa kuyatekeleza? halafu hana hata dalili ya kujiuzuru anatoa longolongo tu!!!
 
Sioni mtu wala dalili za kujiuzulu..wana roho ngumu hawa, hawana hata soni
 
Sijui anaongea nini, yupo ktk Elimu 10 mins, utashangaa ataanza kilimo, mifugo, afya, mahindi, maharagwe, mchicha, ng'ombe, nguruwe, mbolea, utalii, ardhi, mito, maziwa, bahari, anga, mvua, kiangazi, njaa, simba, yanga, kidato cha 4, std 7.. Walimu, wafugaji, wagonjwa, wafu, vichaa, madaktari, mkoa wa Mara, Mwatex, umeme, viwanda, maji, ukimwi, soko, pamba, ajira, umaskini, muda umeisha.... Speaker kaongeza muda..... Mkutano, atamaliza saa 5 ucku, na katupoteza wote, i am exhausted..... Now yupo A to Z alitembelea Minjingu.... Leo mtakoma, sasa Sanflag..... Jesus Christ..... leo ni leo....
Hiiiii kaanza Minjingu, sulphur, phosphorous, nitrate....
Mama yangu...... Kote alikotembelea kasema....sensa sasa.... Heeeeeh....
Sensaaaaaa weee 26 August 2012
Mawaziri WANACHEKAAAAA kisiri siri WANAJUA IMEPITAAA HIYOOOO.....
 
Back
Top Bottom