Mhe. Pinda aahirisha Bunge hadi Juni 12, 2012

Mhe. Pinda aahirisha Bunge hadi Juni 12, 2012

Mbuzi, kondoooo, ng'ombe waliofidiwa na serikali baada ya kufa kwa kiaangazi.... Arushaaaaa
 
Usishangae wakipuuzwa, inawezekana majority ni wapuuzi!!!!!
 
Huu ni upepo tu mkuu, utapita tu na watu watasahau. Ndio maana pinda anawachosha kwanza na habari za sensa na kifuta machozi kwa wafugaji. Uzoefu unaonyesha kuwa kila anayemwita Dr Kikwete anajipendekeza
 
Hotuba yako Pinda imeshashusa hasira za Watanzania hongera PM,
 
Pinda amedhihirisha uimara wa serikali yake,
Ninaamini kabisa kuwa serikali ya CCM itafanya maamuzi magumu very soon, lakini kiongozi imara haendeshwi na wapiga kelele, lazima utafiti, uchambue na kujiaminisha kabla ya kutoa maamuzi.
Hongera JK na Serikali, nimewapa heshima mnayostahili na tuna imani mtafanyia kazi maoni sio kuburuzwa na wachache wenye tamaa na nia binafsi.
 
Weka miguu kwenye beseni lenye maji,uendelee kumpata sura ya kz, roho ya kk.
 
Anataja majina ya kamati ya katiba na kuwapongeza wajumbe wa kamati hiyo, na anaowaomba wananchi waipe ushirikiano wakutosha pindi kamati itapoanza kkufanya kazi yake

haonyeshi kuwa atajiuzulu wala kutuambia kuwa mawaziri wamejiuzulu anapiga porojo za kila siku hutuba za ng'ombe na vifuta machozi za mil 500 ngombe 200 huo ni wizi kabisa kwani bei hiyo si sahihi
anahitimisha hana lolote

 
Halafu mbona kila baada ya muda anashika kiaina lijipete lake, au ndio........, Hahahahahahaha!!!!!!!!!!.
.
WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".
 
Back
Top Bottom