Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,183
Juma Nkamia amethibitisha kuwa Waziri mmoja ameashaandika barua ya kujiuzulu.
Source: BBC
haujamuelewa tu. atakuwa alikuwa anamaanisha simba bingwa.
Juma Nkamia amethibitisha kuwa Waziri mmoja ameashaandika barua ya kujiuzulu.
Source: BBC
Haf anasoma kutoka kwenye li-ktabu kubwa cjui litaisha sa iv!
nimeshawaambia mtasubiri weeee, na kauli yake ya mwisho ni kwamba TUKUTANE DODOMA TAREHE 5 JUNI SAA TATU ASUBUHI KWA MKUTANO WA BUNGE LA BAJETI. ASANTENI!
haujamuelewa tu. atakuwa alikuwa anamaanisha simba bingwa.
tbc wamekata hotuba nyambaf.
Yaaani hapa anazungumzia maswala ya sensa!
aisee! wasipojiuzulu tyari tumepata majibu. ni maandamano nchi nzima. peoples power itaamua hatima ya nchi hii.
Mod ondoa hii takataka ..!