Mhe. Pinda aahirisha Bunge hadi Juni 12, 2012

Mhe. Pinda aahirisha Bunge hadi Juni 12, 2012

Natamani kulia,natamani kutukana. Mungu wangu !!! Hebu sasa tufikiri mara mbilimbili pale tunapoona nchi fulani raia wanaingia mtaani na silaha.
 
kwa kweli tutamkumbuka sana huyu jamaa maana aliweza kufanya maamuzi magumu ... huyu PINDA duh na kusakamwa kote na midudu yote bado anang'ang'ania... aisee mi na hisi tuwaloge mmoja mmoja wajifie. tuuuuuuu

huenda ikawa jeykey ndo hatak
 
Mawaziri wanafanya wanavyoweza kuiba kula rushwa za waziwazi bado wapo tu Serikalini na hakuna atakaewagusa na hayo mnayoyapigia kelele ni Kama kelele za Chura hazimzuii tembo kunywa maji.Arumeru mashariki wameshaanza kuichukua nchi yao kwa kuwanyang'anya wawekezaji mashamba yao.

.
Tuna kichwa cha nazi ikulu tena koroma unatarajia mawaziri kuwajibika kwa kuihofo hewa? Hakuna rangi taifa litaacha kuona. Jk ni farao wenu Mungu aliyemchagua kuwaadabisha. Nakuhkikishia mabutu wa zaire na ubabe wake alikuwa na hofu kwa watu wake kuliko Jk anavyowaona kima msioweza kumfanya lolote. Vichwa vya dizain hii ndivyo vinavyoamshaga vita ya wenyewe kwa wenyewe. Chunga maneno yangu haya. Ccm waliosaign kumwondoa Pinda kwa kisasi cha Jk yatawakuta ya babu Seya.
.
 
Nlikua nausikia tu uchawi,
Na eti sijui mikoa ya nyanda za juu kusini maeneo ya sumbawanga ndio wanaongoza.
Leo jioni hii ndio nimeamini!!
 
Kwa mbaaali naanza kuamini yale maneo ya mateja kuwa "bora kuzaliwa paka majuu kuliko kuwa Waziri Mkuu Tanzania".
 
SERIKALI YAKISHIKAJI KAMWE HAIWEZI KUFANYA MAAMUZI MAGUMU! Anaebisha aendelee kubisha!
 
Hakuna nchi rahisi kuitawala kama Tanzania ebu angalia Waziri Mkuu Pinda anavyoleta uhuni.
 
Nilimnyambieni, hamna kitu hapo. Jamaa alishasema ni upepo tu, utapita. Very discouraging!!
 
Mie siamini macho, masikio na akili zangu kuwa inawezekana kabisa Pinda aka-mute kuhusu hali ya serikali kiuchumi Vs kiutawala na akaishia kuongea story bila action points????!!!

Nimepigwa na butwaa.... Poor Tanzanians.... ;Poor Leadership..... Poor Actions....


..ulitegemea nini kipya.!?
 
Hio ndo sirikali. Hakuna cha kujiuzulu wl nn
 
.
Tuna kichwa cha nazi ikulu tena koroma unatarajia mawaziri kuwajibika kwa kuihofo hewa? Hakuna rangi taifa litaacha kuona. Jk ni farao wenu Mungu aliyemchagua kuwaadabisha. Nakuhkikishia mabutu wa zaire na ubabe wake alikuwa na hofu kwa watu wake kuliko Jk anavyowaona kima msioweza kumfanya lolote. Vichwa vya dizain hii ndivyo vinavyoamshaga vita ya wenyewe kwa wenyewe. Chunga maneno yangu haya. Ccm waliosaign kumwondoa Pinda kwa kisasi cha Jk yatawakuta ya babu Seya.
.

Mimi na wewe ni wahanga ktk kupata adhabu unayoisemea,kupanda kwa gharama za maisha na mengine Kama hayo tuungane na tukemee kwa sauti moja.
 
tangu asubuhi spika alionyesha dhahiri kuiua hoja ya zitto..lakini hoja iko pale pale
 
Haya sasa, hayo ndiyo majibu ya waziri mkuu. Mko wapi mliotuletea uongo hapa mkidai mko jikoni? Kwanza mlianza na kikao cha wabunge wa CCM Kilichoongozwa na waziri mkuu, ambacho mlidai eti kimechukua maamuzi magumu, mkatuambia mawaziri nane wamejiuzulu kupitia kikao hicho, asubuhi ikafika na habari ikayeyuka kama upepo.. Wajinga wakaamini. Leo mkaleta habari eti kutoka jikoni kuwa waziri mkuu anajiuzulu, tumesikia kilichotokea. Siku chache zilizopita niliweka bandiko hapa kuwa wananchi na wabunge wetu wazalendo, nikawaambia anayepaswa kuwajibishwa ni rais. Watu wakanipigia kelele hapa. Wakasema ooo! Tunaanza na waziri mkuu kwanza. Nchi za wenzetu wana akili kuliko sisi. Tunisia waliandamana moja kwa moja kwa ajili ya kumtoa rais, wakafanikiwa. Misri nako vilevile. Sisi tunalia na waziri mkuu, mtu anayepokea amri kutoka kwa mkuu wake. Nilitoa mfano pia kuwa, timu ya mpila ikifungwa tunalia na kocha? Au kapten wa timu. Nikaongeza pia, nyoka akikuingilia unapaswa kupiga kichwa au mkia? Bila kuchukua hatua zinazostahili. Tutaishia kupiga kelele, lazima tujiulize. Mawaziri hawa kiburi wanapata wapi? Nadhani majibu tunayo..
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Watanzania tumekwisha, hatuna watetezi wabunge wetu wengi wametusaliti. Tunayo kazi moja tu watanzania nayo ni kuhakikisha CCM hairudi madarakani 2015, sababu tunazo, uwezo tunao na nia tunayo! God bless TANZANIA.
 
Pengine anamsubiri mkuu wa kaya arejee mazikoni amkabidhi barua ya kujiuzulu.
That's my wish and only hope, at the moment.
 
Back
Top Bottom