Mhe. Pinda aahirisha Bunge hadi Juni 12, 2012

Mhe. Pinda aahirisha Bunge hadi Juni 12, 2012

unamaanisha atakumbukwa kwa RICHM0ND


kwa kweli tutamkumbuka sana huyu jamaa maana aliweza kufanya maamuzi magumu ... huyu PINDA duh na kusakamwa kote na midudu yote bado anang'ang'ania... aisee mi na hisi tuwaloge mmoja mmoja wajifie. tuuuuuuu
 
Kumbe ile habari iliyokanushwa jana na Ikulu juu ya kilichoandikwa na Tanzania Daima ilikuwa ni ya kweli? Basi hii ni balaa. Hapo wabunge wa CCM waliosaini petition matumbo moto.


Mie siamini macho, masikio na akili zangu kuwa inawezekana kabisa Pinda aka-mute kuhusu hali ya serikali kiuchumi Vs kiutawala na akaishia kuongea story bila action points????!!!

Nimepigwa na butwaa.... Poor Tanzanians.... ;Poor Leadership..... Poor Actions....
 
Kuna kila sababu za kuiga style ya warabu ya kujitoa muhanga huu ushenzi hauwezi kuvumilika....
 
Habari zenu wakuu,
Samahanini jamani hivi waziri mkubwa aliposema jumatatu atatoa tamko mlimuuliza jumatatu ya tarehe gani mwezi gani na mwaka gani?

Nipo busy naangalia ze komedi baadae nitapita kujua nimejibiwaje!
 
kweli hii sio tanzania bali ni tanzagiza. sitaki amini kwamba hawa wa2 wamegoma kujiuzuru. kweli CCM na serikari yake wametudhalilisha kushindwa toa maamuzi magumu.

bora hawajajiuzuru ili CDM tupate cha kusema madudu tushinde. selikari inaogopa hadi waziri huu ni ungese
 
Kwa namna mambo yalivyoendeshwa,nchi hii haitatawalika tena. Believe or leave..
 
wanatushangaa watu wazima tunalalamikia na kutaka kuwaumiza vichwa kwa wizi wa vijisent...
 
Mkuu kwa siasa za ccm ulitegemea Pinda angeongea zaidi ya hayo? Bado tuna kazi pevu kuwa na serikali inayowajibika.
 
Watanzania tumekwisha, hatuna watetezi wabunge wetu wengi wametusaliti. Tunayo kazi moja tu watanzania nayo ni kuhakikisha CCM hairudi madarakani 2015, sababu tunazo, uwezo tunao na nia tunayo! God bless TANZANIA.
 
Yaani hii DHARAU kubwa kwa wananchi na Taifa..hata kama tuhuma ni za uongo alitakiwa kuwaambia wananchi ni uongo...hii jeuri wanaitoa wapi hawa viongozi wetu
 
Napenda nirudie tena "Do not interrupt your enemy when he is making mistakes", tuwaache tu.

Wameshakunywa sumu, kaburi lao wameshachimba, wanaenda kujitengenezea jeneza, come 2015 watakuwa wamejizika rasmi. Tuwaache tu.
 
Naona bi kiroboto kapigilia msumari wa mwisho kwenye jeneza la hoja ya Zitto,hii ndo Tz bana utalia weee lakin baadae utanyamaza tu!!
 
Ooh...oooh!!
Pi..pii...piii ..pinda bana.
Wababe hao.
 
Back
Top Bottom