Namkumbuka Jairo!
Well, ilikuwa burudani ambayo imewatia moyo watanzania na kuwaacha solemba...
Upepo ushapita....
Waliosema ndiyooooooooo wameshinda.
.
"WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".
Pinda amedhihirisha uimara wa serikali yake,
Ninaamini kabisa kuwa serikali ya CCM itafanya maamuzi magumu very soon, lakini kiongozi imara haendeshwi na wapiga kelele, lazima utafiti, uchambue na kujiaminisha kabla ya kutoa maamuzi.
Hongera JK na Serikali, nimewapa heshima mnayostahili na tuna imani mtafanyia kazi maoni sio kuburuzwa na wachache wenye tamaa na nia binafsi.
Nini sasa tufanye mana km kusema hapana tushasema sana hiyo hapana huku majumbani nn sasa kifanyike ili tusogee hatua mbele???viongoz wetu wametufanya cc wapumbavuu ndo mana hata kuliongelea wameona wasiliongelee mana wananchi ni viazi tu na wao ndo wenye nchi.Jamani unajua Hawa jamaa wanajua Watanzania ni kwa kiasi gani ni wapole mpaka hawawezi kudai haki zao hata wakiwa wanadanganywa.Naamini kwa hili PINDA anatakiwa yeye ang'oke maana HANA UCHUNGU NA UMASIKINI WA WATANZANIA HATA KIDOGO. JAMANI TUSEME HAPANA TENA HAPANA KWA MAWAZIRI WALIOHUSISHWA NA UIZI WA FEDHA ZA WATANZANIA KUENDELEA KUHUJUMU NCHI YETU.
tusitegemee lolote jipya kutoka kwa pinda. mafisadi washamzidi nguvu.
Pinda amedhihirisha uimara wa serikali yake,
Ninaamini kabisa kuwa serikali ya CCM itafanya maamuzi magumu very soon, lakini kiongozi imara haendeshwi na wapiga kelele, lazima utafiti, uchambue na kujiaminisha kabla ya kutoa maamuzi.
Hongera JK na Serikali, nimewapa heshima mnayostahili na tuna imani mtafanyia kazi maoni sio kuburuzwa na wachache wenye tamaa na nia binafsi.
Wimbo wa Taifa unaimbwa kutoa madukuduku yote yaliyojitokeza, Pinda katoa hutuba ya Mwaka Watanzania kaenda kinyume kabisa na Watu walivyokuwa wanafikiri
hivi lile tamko ambalo alisema atatoa j3 vp..??au leo ni jpili..?
Hicho nacho ni kijizi/kidokozi ndo mana kinatetea wadokozi wenzake.Mudi hamumuoni huyu mtu anavyolipotosha taifa mumpe mapumziko kidogo humu jamvini,sababu kila wakati anahisi kuchafua hali ya hewa?