Chum Chang
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 999
- 272
Na yata sahaulika kama yaliyo sahaulika
mkuu endelea kutujuza nipo mbali na TV
tusitegemee lolote jipya kutoka kwa pinda. mafisadi washamzidi nguvu.
Hilo tulilitegemea, ngoja waone nguvu ya umma.Pinda amemaliza hotuba yake hajatoa tamko lolote kuhusu ubadhilifu wa fedha.
Ni kweli huyu jamaa ni pumba kweli....tusitegemee lolote jipya kutoka kwa pinda. mafisadi washamzidi nguvu.
ningekuwa leo mjengoni ningempiga kiatu,hakuna anachoongea jamani