MOREMI2006
JF-Expert Member
- Sep 10, 2021
- 551
- 541
Kichwa cha habari shinyanga na habari yenyewe ya tukio kibaha,kulikoni hapo?Kwahiyo kibaha ipo shinyanga na ni kwa wasukuma?!!
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Kichwa cha habari shinyanga na habari yenyewe ya tukio kibaha,kulikoni hapo?Kwahiyo kibaha ipo shinyanga na ni kwa wasukuma?!!
Picha jamani
Not in corporate wordMjinga gani anayeua mwanamke, ni kosa kubwa sana kuua wanawake na watoto. Kwa sababu hawana nguvu ya kujidefend wenyewe.
Kuamkia March ngapiAlisema kuwa baadaye alihamishiwa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kwa matibabu zaidi na usiku wa kuamkia Machi alifariki dunia.
Mhasibu alitoboa siri za Mbowe kulamba Ruzuku. Wamem-Chacha WangweWewe ni zuzu.
Watu kama nyie ndio mnafanya CCM idharaulike.
Yaani kama kweli Wangwe aliuawa Kwa mazingira unayodai, serikali ya CCM ingenyamaza?.Vyombo vyote vya ulinzi na usalama vipo chini ya CCM.
Hivyo wasingeiacha CHADEMA iendelee kuwepo.
Achana na Feminist huyo asiyejitambua, ukute dem ndo ilikuwa tabia yake kutapeli vya wanaume na kupenda vya Bure afu mwisho wa siku hatoi mzigo na anafanya usaliti,Sisemi kadhulumu,lakini unavyosema wanawake hawadhulumu una huakika kwa ilo?
VIKARAGOSI wake bado wapoKwani Rais wetu JPM kafufuka? Au sahizi mtamsingizia nani
Mkuu sisi wanadamu ni makatili mno.Me mwenyewe nmeumia sana kisa ni mwanamke tu why kwahyo wakamchoma na moto ili kukwepa ushaidi au , dah binaadamu
Sasa hapa naanza kupata picha kwakuwa ingekuwa ishu ya kikazi wangemmaliza huko huko ShinyangaHuyu Dada alienda Kibaha nia ilikuwa siku inayofuata amtambulishe Mchumba wake kwa Familia yake Kibaha,hivyo inaonekana kuna isu ya Mapenzi pengine huyo Mchumba wake alikuwa na Mchumba mwingine akamuacha akataka kumuoa huyu hivyo akaamua kumkomoa,nahisi hivyo tu
habarileo.co.tzAcha kabisa! Aliamua tu kumsitiri mumewe, maana hawakuja kuvamia ili waibe! Na tukio linatoke kulikua na watoto wake mmoja wa kiume ni rika sawa na mimi hivyo ilikua ni patashika nguo kuchanika
Duh,kumbe unahisiHuyu Dada alienda Kibaha nia ilikuwa siku inayofuata amtambulishe Mchumba wake kwa Familia yake Kibaha,hivyo inaonekana kuna isu ya Mapenzi pengine huyo Mchumba wake alikuwa na Mchumba mwingine akamuacha akataka kumuoa huyu hivyo akaamua kumkomoa,nahisi hivyo tu
madem hawapendani mkuu Mwamba 777 ?Achana na Feminist huyo asiyejitambua, ukute dem ndo ilikuwa tabia yake kutapeli vya wanaume na kupenda vya Bure afu mwisho wa siku hatoi mzigo na anafanya usaliti,
au ukute kaingia kwenye 18 za Dem mwenzake na vile madem hawapendani, ndo ikaisha kihivo.
uskute Hawa ndo wale wanaosomeshwaga bure chekechea mpaka chuo kikuu na kuhongwa vinono na mabwana zao afu wanafanya usaliti, Kwa Hilo atategemea nini zaidi ya kilichomkuta?
Basi mambo yalianzia hapo,uchunguzi uanzie hapo kwa mchumba wa marehemu,Huyu Dada alienda Kibaha nia ilikuwa siku inayofuata amtambulishe Mchumba wake kwa Familia yake Kibaha,hivyo inaonekana kuna isu ya Mapenzi pengine huyo Mchumba wake alikuwa na Mchumba mwingine akamuacha akataka kumuoa huyu hivyo akaamua kumkomoa,nahisi hivyo tu