Papaaa mukuubwaaa
JF-Expert Member
- Jan 26, 2023
- 1,339
- 1,292
Niliandika hawatashikwa mkabisha je Kuna update yeyote
Ulisema ukiwa na maslahi yapi kwa kilichotokea,?Niliandika hawatashikwa mkabisha je Kuna update yeyote
Sin maslahi.Ulisema ukiwa na maslahi yapi kwa kilichotokea,?
KimyaaaaaNiliandika hawatashikwa mkabisha je Kuna update yeyote
Usijitape sana utakamatwa tu, muda wa kukutafuta haujawahi kufika mwisho.Niliandika hawatashikwa mkabisha je Kuna update yeyote
Ukweli ni Hatari sana kwa watu waovu lakini Ukweli utasemwa tu maana wapo walioumbwa kwa ajili ya kusema ukweli hivyo wanaojaribu kusilence watu wasiseme ukweli wanajidanganya tu kwa muda !!RIP, huenda ukweli umeondoa roho yake.
Usijione mshindiNiliandika hawatashikwa mkabisha je Kuna update yeyote
Ni ngumu kuwajua ila wanajua ni watu flani wamekausha tuu.Kimyaa
Ova