Sijui kama ni macho yangu au laah!!!Naona kama sio sugu huyu!!!Sura mbona haiji sana!anyway kama ni yeye hiyo ofisi yake ilikuwa na matatizo.Mbunge alietangulia_mpesya alikomba kila kitu meza,viti,vitasa,kapeti hadi rangi alikwangua!!Sugu kajitahidi hata hivyo!MUHIMU SIO OFISI NZURI NI UTENDAJI WA MTU NA MOYO WA KUWATUMIKIA WATU WAPATE MAENDELEO,SIO JENGO AU FANICHA