granitized
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 4,640
- 10,649
Hiyo ndiyo kazi yake. Yaani daktari akifanikisha uperesheni apewe Cheo?Acheni ujinga.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nawashangaa hawa Jamaa eti shujaa....shujaa Gani Kwenye Kazi yako???...shujaa alikuwa yule raia muhamiaji aliyemuokoa Mtoto aliyekuwa ananing'inia gorofani kule ufaransa...ndo maana rais wa France akamwita ikulu na kumpa uraia wa France na Kazi Kwenye kitengo cha uokoaji kama sijakosea...