Mh. Rais, mpandishe cheo askari huyu kwa uthubutu wake

Mh. Rais, mpandishe cheo askari huyu kwa uthubutu wake

Hata na Mimi nilishangaa sana maana walikuwepo askari zaidi ya watatu...INA maana walishindwa kumdhibiti yule bwana mpaka Jamaa akampiga na Kitako cha bunduki...tena kichwani...Je akienda kupimwa ikaonekana ameathirika kiakili kutokana na kile kitako cha bunduki hapa kesi itakuweje...maana tayari kuna tarifa kuwa yule bwana hakuwa sawa kichwani. Sasa hapo tutayofautishaje kati ya madhara ya kitako na madhara ambaye yalikuwepo tangia awali.
Na askari mwenzake anasema mpe kitasa
 
hebu tone hiyo clip...

mi naskiaga tu watu mkisema kuna clip zinasambaa sjui voice record ila kwakweli hazinifikiagi kbsa,nyie mnazipataje? ebu namm nifundshen chakufanya nisipitwe.

hiyo clip sijaiona mkuu,nifanyie wepesi....
Angalia kuna uzi aliweka bwana mshana jr ndo ipo hiyo clip
 
Huyo askari ana cheo gani hadi apate nafasi ya kupandishwa cheo na amiri jeshi??
Kuna clip inasambaa kwenye mitandao inayoonyesha askari wakimwokoa mtoto toka mikononi mwa mzazi wake aliyedhamilia kumdhuru.

Wanao onekana ni askari wengi, lakini kuna askari mmoja mwenye uthubutu aliyetumia weledi mkubwa kumrukia mtuhumiwa ndiyo nashauri mamlaka zimpandishe cheo.

Amefanya kazi kubwa ya kuokoa maisha ya mtoto aliyetakiwa kukatishwa maisha yake, .
Kwa kweli alijitoa mhanga, kama kazi yake inavyotaka

Mh. Rais atakuwa ameona tukio nzima, Kwa kweli askari wetu wanachapa kazi sana, hata wanao wabeza wanakosea sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Polisi kama huyo unaweza kuta anakaa mwezi mzima kusubiri alipwe laki 270,000 kama 1/3 ya mshahara baad ya kukopa milioni 3 tu Equity bank.

Kwahyo, kuliko apandishwe cheo huyo mtu mmoja nakushauri mtoa post ufungue uzi kutuombea Polisi wote tuboreshewe maslahi, tuongezwe hata laki laki tu ili kupunguza hasira za ugumu wa maisha. Kinyume chake tutaendelea kuzimaliza hasira zetu kwenye maandamano ya CDM

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bro kiki KWENYE MAUTI.YULE mwamba alikuwa na panga na msumeno alafu kichwani Kisha data dishi limepoteza muelekeo.
Anaweza akakuua.
Mimi niseme tu ukweli mtu akishika panga au kisu simsogelei.
Wamejitahidi na walikuwa kwenye mazingira magumu
Mwendo wa Kick

Kwenye ile Clip mmoja wa waokoaji alikuwa anasisitiza apigwe picha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaniuliza Mimi....Mkuu uko sawa kichwani???si kuna mamlaka zinazishughulikia hilo jambo???nadhani ndo watakuwa na majibu sahihi baada ya kumuhoji yule baba kwa nini walikuwa uchi wa mnyama na yule Mtoto.
sijakutaja jina mkuu acha kukurupuka
 
Dah
Bro kiki KWENYE MAUTI.YULE mwamba alikuwa na panga na msumeno alafu kichwani Kisha data dishi limepoteza muelekeo.
Anaweza akakuua.
Mimi niseme tu ukweli mtu akishika panga au kisu simsogelei.
Wamejitahidi na walikuwa kwenye mazingira magumu

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani alikuwa na hizo silaha mkononi au zilikutwa eneo la tukio mkuu
 
Back
Top Bottom