MfalmewaKiha
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 1,191
- 1,244
ibesa mau,
Ni kweli, ni mzalendo sana
Hapo ndio nimeishiwa pozi yani mtu anafanya majukumu yake eti apewe pongezi shubamit
poasijaona bado mkuu, ni tag tafadhali
Naomba ushahidni wa video tafadhari!!Hata na Mimi nilishangaa sana maana walikuwepo askari zaidi ya watatu...INA maana walishindwa kumdhibiti yule bwana mpaka Jamaa akampiga na Kitako cha bunduki...tena kichwani...Je akienda kupimwa ikaonekana ameathirika kiakili kutokana na kile kitako cha bunduki hapa kesi itakuweje...maana tayari kuna tarifa kuwa yule bwana hakuwa sawa kichwani. Sasa hapo tutayofautishaje kati ya madhara ya kitako na madhara ambaye yalikuwepo tangia awali.
Kaangalie jukwaa la MMU post ya Mshanahebu tone hiyo clip...
mi naskiaga tu watu mkisema kuna clip zinasambaa sjui voice record ila kwakweli hazinifikiagi kbsa,nyie mnazipataje? ebu namm nifundshen chakufanya nisipitwe.
hiyo clip sijaiona mkuu,nifanyie wepesi....
Naomba ushahidni wa video tafadhari!!
Mi nadhan huu ujinga wa kila mtu akitekeleza majukumu yake ipasavyo basi lazima apewe fadhila ifike mahali ufe na utokomee kabisa maana ni ishara ya kulea taifa la watu wavivu na wasio jituma wenye malengo ya kutekeleza majukumu yao kwa kusubiri fadhira huu ujinga ufe na ukome kabisaKuna clip inasambaa kwenye mitandao inayoonyesha askari wakimwokoa mtoto toka mikononi mwa mzazi wake aliyedhamilia kumdhuru.
Wanao onekana ni askari wengi, lakini kuna askari mmoja mwenye uthubutu aliyetumia weledi mkubwa kumrukia mtuhumiwa ndiyo nashauri mamlaka zimpandishe cheo.
Amefanya kazi kubwa ya kuokoa maisha ya mtoto aliyetakiwa kukatishwa maisha yake, .
Kwa kweli alijitoa mhanga, kama kazi yake inavyotaka
Mh. Rais atakuwa ameona tukio nzima, Kwa kweli askari wetu wanachapa kazi sana, hata wanao wabeza wanakosea sana
Ile kwa lile tukio ni ushujaa tosha,kwaiyo akipandishwa cheo inakuwa ni moja ya motisha kwake na pia itawafanya wenzake kupata morali pindi tukio jingine likija kutokea,Promo hizo kwani wanalipwa mshahara kwaajili ya kazi gani mazee?
Ndio aliyechukua video anaumuhimu sana,bila vile tukio lile tusingeliona,kuna kitu tumejifunza hata sie tusio asikariHahahahaha,aliyechukua video
Jaman mm mwenyew nimeiona hio clip lakin ckuona kama yule mzaz alikuw ana nia ya kumuua yule mtoto wake cjui nin pale kilikuw kinaendelea
Sent using Jamii Forums mobile app