mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 45,751
- 55,792
Kama utampinga mtu kutokana na Jina lake.
Basi wewe ndo utakuwa hauna akili.
kati yako na polisi nani aliyekuwepo kwenye tukio?maelezo ya kamanda wa polisi wa morogoro ndo kasema alikuwa na panga na msumeno.
WEWE NI NANI mpaka UPINGE.?
PUNGUZA UJUAJI UTAKUWA NA AKILI.
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi wewe ndo utakuwa hauna akili.
kati yako na polisi nani aliyekuwepo kwenye tukio?maelezo ya kamanda wa polisi wa morogoro ndo kasema alikuwa na panga na msumeno.
WEWE NI NANI mpaka UPINGE.?
PUNGUZA UJUAJI UTAKUWA NA AKILI.
Kweli uelewa wako unasadifu jina lako...pale kuna kina kirefu..umeona na panga na msumemo kwenye clip???
Sent using Jamii Forums mobile app

