Mh. Rais, mpandishe cheo askari huyu kwa uthubutu wake

Mh. Rais, mpandishe cheo askari huyu kwa uthubutu wake

Bro kiki KWENYE MAUTI.YULE mwamba alikuwa na panga na msumeno alafu kichwani Kisha data dishi limepoteza muelekeo.
Anaweza akakuua.
Mimi niseme tu ukweli mtu akishika panga au kisu simsogelei.
Wamejitahidi na walikuwa kwenye mazingira magumu

Sent using Jamii Forums mobile app


Mkuu acha undezi basi...kuna sehemu Kwenye ile clip umeona msumemo na panga...??? Na Je kama msumemo ulikuwa kwa akili ya kukaa Mabomba Je mama kuna taarifa kuwa yule mdingi alikuwa anakata Mabomba...

Amadata???dishi limeyumba???imethibitishwa na daktari????
 
Mkuu sihoji juu ya uthubutu na utu Wema wa yule askari kitu nitakachohoji ni

1. Umesema yule baba alikuwa Anataka kumdhuru yuke Mtoto, una uhakika na hilo...Je vyombo Vya usalama vimeshathibitisha kuwa yule baba alitaka kumdhuru yule Mtoto.???

2. Amefanya kazi kubwa ya kuokoa maisha ya mtoto aliyetakiwa kukatishwa maisha yake,...Huu ni uzandiki na uzabizabina maana huna uhakika na unachosema n yule mzee sikuona jitihada zozote za kukatisha uhai wa yule mtoto..zaidi tu alikuwa anawakwepa askari wasimchukue yule Mtoto. Mkuu acha mamlaka zinazohusika zishughulikie lile tukio na majibu ya uhakika tunaweza kuyapata...tuache speculations za kizandiki.
Hoja za kipumbavu kwenye mambo ya msingi unakuwa mnyalukolo unawaamuru Askari walale tuu maana hakuna jema wanaloweza kusifiwa
 
Jamaa mwenyewe akunuia sana kumuua mtoto, askari wenyewe wanashauriana dk 1 nzima, inawachukua tena sekunde za kumwaga kumfikia mtuhumiwa na sekunde nyingine nyingi tu kumkwapua mtoto.
Kumbe wangeachana nae tuu eti lafa wewe
 
Hoja za kipumbavu kwenye mambo ya msingi unakuwa mnyalukolo unawaamuru Askari walale tuu maana hakuna jema wanaloweza kusifiwa


Mkuu una uwezo wa kusoma jambo na kuelewa...maana hapa umeandika mashudu tupu...umesoma nilichoandika na kukielewa...au umerukia tu kama unarukia mb....o????
 
Kumbe umekalia ubishi.
haya HAKUWA na msumeno wala panga.
Kasingiziwa.
Mkuu acha undezi basi...kuna sehemu Kwenye ile clip umeona msumemo na panga...??? Na Je kama msumemo ulikuwa kwa akili ya kukaa Mabomba Je mama kuna taarifa kuwa yule mdingi alikuwa anakata Mabomba...

Amadata???dishi limeyumba???imethibitishwa na daktari????

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa mwenyewe akunuia sana kumuua mtoto, askari wenyewe wanashauriana dk 1 nzima, inawachukua tena sekunde za kumwaga kumfikia mtuhumiwa na sekunde nyingine nyingi tu kumkwapua mtoto.
Kwamza yule jamaa nimemkubali sana hivi umeona alivyooelekesha wale polisi?
 
Kumbe wangeachana nae tuu eti lafa wewe
Tumia lugha za staha mkuu. Ungetumia akili yako vizuri ungeelewa kuwa kilichofanywa na askari ni kitu kizuri lakini hakistahili sifa na majigambo yote hayo. Yaani utafikiri kweli walichokifanya ni ushujaa kweli kweli
 
Kumbe wangeachana nae tuu eti lafa wewe


Mkuu hujaelewa Mkuu hapo kamaanisha nini....na ishu hapa ni kwamba we ni kiazi..Mkuu hapo kamaanisha muda wote wale askari wamekaa pale wanajadiliana kama yule mzee alikuwa na nia ya kumdhuru angemdhuru yule Mtoto...askari mwenyewe magoigoi watupu...askari watatu wanashindwa kumdhibiti MTU Mmoja ambaye wala hana silaha...mandezi tu.
 
Back
Top Bottom