Simiyu Yetu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 18,949
- 4,643
Mzee sasa huo uzee mbona haukusaidii sana ziko wapi busara za kiutu uzima.Tumaini Asenga,
Kwa bahati mbaya hakuna alama za quotation. Hivyo sina hakika Kama hayo mane no ni ya kwako au ya Prof. Kama kweli ni ya Prof, sina hakika Kama kweli awesome posting yangu. Kama kweli kasoma, sina hakika ni Prof. Wa nini kwani kauli yangu haihitaji tafsiri, iko wazi. Kama Ni kweli ni maneno ya Prof. Na Kama ndiye alikuwa mwalimu wa Mwigulu, bass tatizo ni kubwa kuliko tunavyodhani. Tumaini thibitisha Kama kauli hiyo ni ya Prof.
umekosa kabisa staha mbele ya jamii wewe unadhani kila kitu ni kukashifu tu,
Ungekuwa unapokea ushauri tungeweza kukushauri lakini kwa vile unajifanya we mdogo wake na yesu na huwezi kupokea ushauri wa mtu endelea na balaa lako.
zito amekuwa kama mkimbizi ndani ya chadema kwa ajili yako unavyomwandama kwakuhofia uwezo wake alionao pengine ataweza kuchukua nafasi yako.