Tuwe na subira, huwa CHADEMA hawakurupuki na wala hawana vibaraka wa kuwabeba! si mnaona ya Bi Fatuma Kimario haya kumbe ni Mkatoliki, na kuhusu hio habari ya TBC sio kwamba wamekosea it was aimed and meant to be so ili watu wasielewe na baadhi tuseme ndio hivyo lakni wengine wakiaminishwa kuwa CHADEMA ndio wamefanya vurugu, time will tell