johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,145
Huwezi kusaliti Kitu ambacho wewe siyo sehemu yake
CHADEMA kuikosoa CCM na Serikal yake au kumkosoa Mwenyekiti wa CCM siyo Usaliti ni sehemu ya Majukumu yao ya Siasa za Upinzani
Nimemsikia Tundu Lisu pale Clouds akisema Shujaa Magufuli aliposema Wasaliti washughulikiwe baada ya massa mawili ndio akashambuliwa
Nadhani TAL alighafirika kwani kwa nafasi yake Ndani ya Chadema hawezi kuwa Msaliti wa CCM anaweza tu kuwa anavunja sheria fulani na atapaswa kuishughulikia kwa mujibu wa katiba ya nchi
Zitto Kabwe kwa mfano alipotaka Kumpindua Freeman Mbowe.pale Chadema ndio alikisaliti Chama chake mwenyewe
Mbarikiwe sana!
CHADEMA kuikosoa CCM na Serikal yake au kumkosoa Mwenyekiti wa CCM siyo Usaliti ni sehemu ya Majukumu yao ya Siasa za Upinzani
Nimemsikia Tundu Lisu pale Clouds akisema Shujaa Magufuli aliposema Wasaliti washughulikiwe baada ya massa mawili ndio akashambuliwa
Nadhani TAL alighafirika kwani kwa nafasi yake Ndani ya Chadema hawezi kuwa Msaliti wa CCM anaweza tu kuwa anavunja sheria fulani na atapaswa kuishughulikia kwa mujibu wa katiba ya nchi
Zitto Kabwe kwa mfano alipotaka Kumpindua Freeman Mbowe.pale Chadema ndio alikisaliti Chama chake mwenyewe
Mbarikiwe sana!