johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,855
- 141,793
Katika mazingira halisi Uchaguzi Mkuu wa 2020 walioshindana Majukwaani ni Rais Samia na mgombea Urais wa Chadema mh Tundu Antipas Lisu
Rais Samia akiwa makamu wa Rais aliwezesha CCM kupata Ushindi mnono wa 84% ya kura zote huku Tundu Lisu akijizolea 13%
Ndio najiuliza 2025 Chadema watapata Hata 5% kwa sababu sasa watashindana na Rais Samia siyo tena makamu wa Rais kama 2020
Mlale unono!
Rais Samia akiwa makamu wa Rais aliwezesha CCM kupata Ushindi mnono wa 84% ya kura zote huku Tundu Lisu akijizolea 13%
Ndio najiuliza 2025 Chadema watapata Hata 5% kwa sababu sasa watashindana na Rais Samia siyo tena makamu wa Rais kama 2020
Mlale unono!