Mh.Kagasheki: RPC Arusha awatorosha majangili

Mh.Kagasheki: RPC Arusha awatorosha majangili

Mhe Kagasheki amenukuliwa Na ITV akisema kuna mtu amemupigia simu akimuonya aache kumufatafata la sivyo atamshitaki kwa mhe rais
sasa swali la kujiuliza je ?rais analinda majangili ?
Its very possible, kama alienda mrescue mwanane mikononi mwa wachina kwa issue ya madawa.
 
Waziri Kagasheki alifungukia jeshi la polisi

Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Hamis Kagasheki amesema vitendo vya rushwa kwa baadhi ya watumishi wa jeshi la polisi bado ni kikwazo kwenye mapambano dhidi ya ujangili.
Amesema licha ya watuhumiwa kukamatwa na vithibitisho lakini bado wengi hususan raia wa kigeni wamekuwa wakiachiwa na hivyo kuhamasisha vitendo hivyo kuzidi kushamiri.
Licha ya kuanzisha operesheni maalumu ya kamata majangili yenye lengo la kudhibiti mauaji ya tembo lakini baadhi ya watumishi wa jeshi la polisi wameendelea kuwa kikwazo katika mapambano hayo.
Waziri Kagasheki anasema operesheni hiyo yenye baraka zote za Amiri Jeshi Mkuu wa nchi Rais Jakaya Kikwete itaendelea licha ya wahujumu hao kuingilia juhudi hizo, huku akiahidi kuwachukulia hatua za kisheria watakapobainika.
Aidha katika oparesheni hiyo ya kamata majangili baadhi ya watumishi wa wizara hiyo wamebainika kuwa washirika wa biashara hiyo haramu.
Polisi Arusha ni tatizo, yaani idara zote hamna yenye afadhali, Cid, Trafic, Ffu ni matatizo, wanashindana kwa kula rushwa
 
haya maswala yametokea arusha ambako lema ndiyo mbunge na lema tabia yake iko wazi sasa mnategemea nini.

acha kubwabwaja kagasheki kashindwa kumtaja manyota anasema amirijeshi kaibariki opereshen
 
Jamani kuna wanachi wanauwawa huko Manyara na maafisa wanyamapori in the name of ujangili... while i support majangili kushughulikiwa, nina wasiwasi kwamba hii kitu inakua abused, na majangili halisi (kama hao waarabu) wamekua mitaji ya wakubwa wa polisi
Kuna ndugu zangu wamechukuliwa juzi usiku wa manane kule galapo mke na mume jana tumeambiwa tukachukue maiti ya mwanamke hospital ya murara
 
Its very possible, kama alienda mrescue mwanane mikononi mwa wachina kwa issue ya madawa.

kikwete mtu wa ajabu sana kunadeal alishirikiana na waziri wake deal lenyewe ni la mil 8, nikasema hatuna raisi tunamhongwa suti tu..
 
Nashindwa kumwelewa mtuañaejifanya ccm hanatofauti. NA mtotoanae cheza NA kinyesi SIMIYU;ZE MARCOPOLO etc tunataka daftari lawapiga kuramapema lirudi mtaani ndipo mtajua maharge NI mbogo ya makande maliberal wakubwa
 
Kuna ndugu zangu wamechukuliwa juzi usiku wa manane kule galapo mke na mume jana tumeambiwa tukachukue maiti ya mwanamke hospital ya murara

unatania au unaumanisha kuna kila ishara ua vijana kuingia porini kupata mafunzo ya kijeshi maana haya mambo hayavumiliki kabisa..
 
Its very possible, kama alienda mrescue mwanane mikononi mwa wachina kwa issue ya madawa.

Hahahahaa ! Unamaanisha kikwete alimuokoa mtoto wake mikononi mwa wachina kwa issue ya madawa ya kulevya kwa hiyo ni UJANGILI +MADAWA YA KULEVYA = !!??
 
Magamba wamemaliza raslimali zetu, waandae picha za wanyama ziwe mbadala ya wanyama halisi.
 
Magamba wanaunga mkono icckufutwa wakidhani hapatakuwepo NA mahakamanyingine itakayo tow hukumu kwao
 
Magamba wamemaliza raslimali zetu, waandae picha za wanyama ziwe mbadala ya wanyama halisi.

Magamba wamemaliza raslimali zetu, waandae picha za wanyama ziwe mbadala ya wanyama halisi.

Utashangaa watu wana andamana kutoka arusha mpaka dar kupinga ujangili wa tembo ,huu ni ujinga kabisa wana andamana nini wakati majangili wanajulikana .kwa nini wasishikwe mala utasikia miss anapewa bendera eti akienda nje ya nchi akahamasishe kupinga ujangili huu wote ni ujinga mtupu
wakati majangili wana lala nao na kula nao. ukoo wama fisi
 
Ukisikia majanga ndiyo haya sasa polisi wamekuwaje tena wakibainika ni vema sheria itembee juu ya migongo yao.

Tukisemaga akina Kinana wanahusika, wewe na Bk7 fc wenzio mnatokwa povu. Sasa jiulize ni nani aliyempigia simu ya vitisho vya kwenda kuonana na JK Kagasheki?
 
Kaka hao wote ni CCM. Napata wacwac kama hawaja na KINANA, Tutasikia tu!!!!!!!!!!!!!!!
 
Hapa tatizo bado naliona kwa Waziri Nchimbi kushindwa kabisa kusimamia suala la ulinzi wa mali za umma na mwenzie Mwema kwa kushindwa kulisafisha jeshila polisi kwani ni juzi tu Mwakyembe alilalama juu ya madawa ya kulevya lakini Waziri Nchimbi hakuonekana kutoa msaada wowote kwa mwenzie,leo tena Kagasheki analia na jeshi la polisi alafu bado na yeye anaishia kwenye 'UNANSWERED CRIES'
 
Back
Top Bottom