CHAMVIGA
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 7,687
- 2,240
Unajitia uendawazimu bule. Hujui Dr Slaa ni nani ktk nchi hii? Ishukuru jf imekupa sehemu ya kujitutumua kwa id fake. Tell us who you are? kama wewe siyo mganga njaa Lumumba.
Stop your nonsense! Waambie na wengine Lumumba. Dr.hata kama asingekuwa mwanasiasa bado kwa elimu na umri wake ulipaswa umheshimu lakini kwa kuwa siasa za tanzania zimevamiwa na wauza unga matokeo yake ndo kama wewe.
Na rudia tena, only genius should be involved in politics, should be in the forefront to lead others. Nimechoka na upuuzi wenu Lumumba....mnaandika ovyo ovyo...siasa zinaoneka za wenda wazimu which should be the contrary. Unauliza Dr Slaa ni nani?
Nani kakuambia nina mdharau dr? Kuongea maovu yake yakiwemo ya uzinzi yaliompatia watoto wawili Emiliana na Linus ni matusi? Huyu si ndo alimchukua mchumba wa mtu mama Rozi na kuzini nae akiwa ni padri? Je haya ni matusi? Vipi kuhusu tuhuma za kutembea na wake za madiwani kule karatu akiwemo mke wa Lazaro Titus Massay je mimi nimemtusi? Wewe unafaa kupuuzwa kama kikwete alivyompuuza huyu fisadi Slaa.DON BE CONCERN WITH OUR RUBBISH TAKE YOUR TIME DUDE.