Twilumba
Platinum Member
- Dec 5, 2010
- 13,594
- 16,491
RPC Arusha kuchukuliwa hatua baada ya kuhusika kuwatorosha majangili raia wewenye asili ya kiarabu mapema baada ya kukamatwa wakihusika na ujangili.
Hii ni kwa mujibu wa Waziri Wa maliasilia na Utalii alipoongea na vyombo vya habari leo hii.
Mh. Kagasheki amesema kuwa RPC huyo alihusika moja kwa moja kuwatorosha majangili hao ambapo aliwarudihia passport na kusaidia kuwapa mbinu za namna ya kutoroka nchini baada ya yeye kuruhusu waachiwe baada ya kukamaatwa.
Source: Clouds F-Taarifa ya habari saa 12 jioni!
Hii ni kwa mujibu wa Waziri Wa maliasilia na Utalii alipoongea na vyombo vya habari leo hii.
Mh. Kagasheki amesema kuwa RPC huyo alihusika moja kwa moja kuwatorosha majangili hao ambapo aliwarudihia passport na kusaidia kuwapa mbinu za namna ya kutoroka nchini baada ya yeye kuruhusu waachiwe baada ya kukamaatwa.
Source: Clouds F-Taarifa ya habari saa 12 jioni!