One of my friends yupo kwenye hiyo operation,anasema waliwakamata broker (kuna mwindaji,broker,mnunuzi wa ndani na mnunuzi wa nje),yule broker aliwapa full information (alikuwa supportive) wakaenda kwa mnunuzi wa ndani ambaye aliwaeleza kuwa ni kweli anahusika na wanunuzi wa nje (waasia) washafika nchini na wapo hoteli fulani,akawaelezea namna hata ya kuwakuta na exhibit ,timu ikapanga ambush,wakati wakijiandaa kumkamata manyota akauza info kwa muasia,lakini kwa bahati nzuri timu ilikuwa na plan b ambayo ilimkamatisha/wakamatisha,manyota alipoona kashindwa kuzuia,akaona akachezee ngoma kituoni,maelezo yaliandikwa na mkubwa na yalionyesha walikamatwa kwa bahati mbaya kwani walikuwa vacation,akatumia nguvu aliyonayo kwamba ubalozi wa waasia unacomplain sana kwa wakubwa,so wacha wapewe dhamana wakati upelelezi unaendelea.
So timu ilibaki disappointed coz nasikia jamaa walikuwa na full vidhibiti ambavyo wangefikishwa kwa pilato wasingechomoza.(Am not sure about the truth of the story,lakini aliyenipa ni officer aliye kwenye hiyo timu ya kudhibiti majangili).Sasa my point ni kuwa kama waziri analalamika,nguvu na mamlaka ya kuchukua hatua tutegemee kutoka kwa nani?