Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,025
kinachozunguka kinarudi kilipotoka, na kipandacho hatimaye hushuka,
Hakuna cha wazee wa mila wale wazee wa boma, Arumeru ni Tanzania na mtanzania yeyote anaweza kwenda muda wowote.
Huyu Tendwa anazeeka vibaya na siasa za maji ya chooni.
Hakuna cha wazee wa mila wale wazee wa boma, Arumeru ni Tanzania na mtanzania yeyote anaweza kwenda muda wowote.
Huyu Tendwa anazeeka vibaya na siasa za maji ya chooni.