Husika na kichwa hapo juu..,Nimeamini kwamba chama cha mapinduzi (CCM) hawana jipya katika kufanya kampeni zao huku wakitumia silaha zao za udini,ukabila,unyanda na siasa za majitaka huku silaha yao ya mwisho ni kuchakachua kura...! kwakuwa hawana mbinu nyingine ya kuishinda CHADEMA baada ya kushindwa kutekeleza ahadi zake kwa wananchi na pia kushindwa kufanikisha maisha bora kwa kila Mtanzania kama ilani yao inavyosema!
katika kampeni za Igunga mwaka jana..,CCM wakishirikiana na mkuu wa wilaya kutengeneza kesi,waliweza kuwatumia masheikh ambao ni makada wa CCM ili kuishambulia Chadema pamoja na kujenga chuki ya waislamu dhidi ya Chadema mwisho wa siku eti Chadema washindwe kwenye uchaguzi kwa kukosa kura za Waislamu,,.bahati nzuri Waislamu sio wajinga au watu wa kupotoshwa kama walivyodhania CCM,CHADEMA walipata kura nyingi tu hadi kufikia mshindi wa pili..!
tumeona kwamba CCM ni chama cha kidini
Vile vile kwenye uchaguzi wa Arumeru ambao utafanyika hivi karibuni,..KAMADA GODBLESS LEMA anawanyima usingizi CCM na ndiyo silaha kubwa ya CHADEMA arumeru yaani (striker), wameanza kutumia UKABILA hasa kwa kuwatumia WASHIRI wazee wa kimeru kumtishia kifo GODBLESS LEMA asikanyanyage meru eti kwa kutoa kauli tata kwenye msiba wa sumari...,huku CCM kwa akili zao za kipuuzi wakiamni watakuwa wamemdhibiti LEMA pamoja na kujenga chuki ya kikabila kwa kuwatumia hao WASHIRI kujenga chuki dhidi ya CHADEMA..,Napenda niwaambie CCM, GODBLESS LEMA hatishiwi kifo hata siku moja ndio maana alikuwa tayari kwenda kulala gerezani na vile vile WAMERU sio wajinga kama mnavyozania kwamba kuwatumia washiri kwenye kampeni zenu chafu dhidi ya CHADEMA..!
na hii zana nimejidhihirisha CCM ni chama cha kikabila kwa kutumia washiri (wazee wa kimeru ) kuifanyia CCM kampeni na kuishambulia CHADEMA ambao hao WASHIRI..!