Kila mara huwa nafikiri kwamba huwa unapitiwa, kumbe kichwani hakuna ubongo, ni kasha tu!!CDM msituletee umwagaji damu kama mlivyofanya Igunga. Amani mliyoikuta Meru iacheni.
Inaonekana mmeanza kutapatapa, ... na bado....jimbo la ARUMERU mtalisikia redioni kama ilivyokuwa kwa majimbo mengine ya Igunga na Uzini.
Ama kweli, CDM ni full shari.
CDM msituletee umwagaji damu kama mlivyofanya Igunga. Amani mliyoikuta Meru iacheni.
Inaonekana mmeanza kutapatapa, ... na bado....jimbo la ARUMERU mtalisikia redioni kama ilivyokuwa kwa majimbo mengine ya Igunga na Uzini.
Ama kweli, CDM ni full shari.
Hauwezi kuwatofautisha. Wote ni WATEULE wa JMK. Kauli kama hii haina uhusiano wa mojakwamoja na kampeni na joto la uchaguzi la sasa na wala Lema sio mgombea wa CHADEMA licha ya kutokuwa msemaji wa chama hicho. Tendwa ni mzigo mwingine wa kodi zetu.Tedwa nilimuona kwenye kipindi maalum TBC siku ule ya uchaguzi wa Igunga, ni ngumu sana kumtofautisha na mukama anajisahau kupita kiasi
Mi nafikiri hata elimu inavyoporomoka nchini CCM wanafurahia sana. Siamini siku watanzania watakapo soma na kuelimika, haya mambo yataendelea kuwepo!!
"Ukiona mtu/watu wanashambulia wenzao kwa misingi ya ukabila,rangi au udini,hao watu ni walioshiwa sera kichwani,wamefilisika kichwani,ni wapumbavu,natumia neno zuri wapumbavu" - J.K.NYEREREHusika na kichwa hapo juu..,Nimeamini kwamba chama cha mapinduzi (CCM) hawana jipya katika kufanya kampeni zao huku wakitumia silaha zao za udini,ukabila,unyanda na siasa za majitaka huku silaha yao ya mwisho ni kuchakachua kura...! kwakuwa hawana mbinu nyingine ya kuishinda CHADEMA baada ya kushindwa kutekeleza ahadi zake kwa wananchi na pia kushindwa kufanikisha maisha bora kwa kila Mtanzania kama ilani yao inavyosema!
katika kampeni za Igunga mwaka jana..,CCM wakishirikiana na mkuu wa wilaya kutengeneza kesi,waliweza kuwatumia masheikh ambao ni makada wa CCM ili kuishambulia Chadema pamoja na kujenga chuki ya waislamu dhidi ya Chadema mwisho wa siku eti Chadema washindwe kwenye uchaguzi kwa kukosa kura za Waislamu,,.bahati nzuri Waislamu sio wajinga au watu wa kupotoshwa kama walivyodhania CCM,CHADEMA walipata kura nyingi tu hadi kufikia mshindi wa pili..!
tumeona kwamba CCM ni chama cha kidini
Vile vile kwenye uchaguzi wa Arumeru ambao utafanyika hivi karibuni,..KAMADA GODBLESS LEMA anawanyima usingizi CCM na ndiyo silaha kubwa ya CHADEMA arumeru yaani (striker), wameanza kutumia UKABILA hasa kwa kuwatumia WASHIRI wazee wa kimeru kumtishia kifo GODBLESS LEMA asikanyanyage meru eti kwa kutoa kauli tata kwenye msiba wa sumari...,huku CCM kwa akili zao za kipuuzi wakiamni watakuwa wamemdhibiti LEMA pamoja na kujenga chuki ya kikabila kwa kuwatumia hao WASHIRI kujenga chuki dhidi ya CHADEMA..,Napenda niwaambie CCM, GODBLESS LEMA hatishiwi kifo hata siku moja ndio maana alikuwa tayari kwenda kulala gerezani na vile vile WAMERU sio wajinga kama mnavyozania kwamba kuwatumia washiri kwenye kampeni zenu chafu dhidi ya CHADEMA..!
na hii zana nimejidhihirisha CCM ni chama cha kikabila kwa kutumia washiri (wazee wa kimeru ) kuifanyia CCM kampeni na kuishambulia CHADEMA ambao hao WASHIRI..!