Mgomo wa madaktari - Updates

Dr Wangu wa Muhimbili anasima

"" mgomo hakuna watu wanaendelea na kazi kama kawaida vikao bado vinaendelea"" mwisho wa kunukuu

Sasa tumuamini Doctor wa wapi??? maaana mgomo hakuna:juggle:
Jamani Jeykey wewe daktari wako si yupo India?.. Acha kudanganya wenzio bana!
 
Dr Wangu wa Muhimbili anasima

"" mgomo hakuna watu wanaendelea na kazi kama kawaida vikao bado vinaendelea"" mwisho wa kunukuu

Sasa tumuamini Doctor wa wapi??? maaana mgomo hakuna:juggle:

Kimbia pale Muhimbili chap then utujuze yanayojiri pale!
Tunakusubiria tafadhali!
 
Na mbaya zaidi Waziri wa afya alishapeleka barua ya ku resign tatizo ni JK kampa kiburi
Mara nyingi nimekuwa nikisema, haya masharti ya Waganga wa kienyeji, usipochanganya na za mbayuwayu, unaweza kujikuta pabaya sana! Mganga anaweza kukwambia ukienda kuiba benki ukiwa mtupu hutaonekana hata kama ni mchana kweupe!
 
Madaktari wasio na fikira. Hao hukumu yao kuuliwa kwa kila kifo cha mgonjwa kitakachotokea wakigoma.
 
Mmmh,
nina mgonjwa muhimbili kibasila wadi 6.
tena ana tatizo kubwa,
wakuu hii imekaaje.
 
Hii si hali ya kushangilia hata kidogo.Imagine uko hosp na hali mbaya then mgomo unatokea,then imagine unaumwa sasa na kuna mgomo!Imagine wagonjwa walioko hosp!imagine.
Lkn madoc c wakulaumiwa,kwani hii ndio njia ya kushinikiza kusikilizwa pale sirikali isiyojali watu wake inapopuuza walipakodi wake!Acha tufe kwa ukombozi wa watakaobaki.Huu ndio msimamo tuliotakiwa kuwanao watz wote,maana wengine tuna hali ngumu pia lkn eti tunaitetea serikali haina pesa!Nani kasema?wanazila wachache tu!
Serikali inawang'ang'ania waziri na naibu wake as if ni wao pekee ndo wanaweza kuongoza wizara.
 

Ndivyo unavyosuluhusha matatizo yako home eeh. Ngoja uone madhara ya kupuuzia madai ya wanachi, huku ukijua wewe una insurance saafi hospitali kubwa. Kuna tatizo gani ukampeleka haji musumbiji akawe balozi na kuwafanya wabongo wawe na amani huku ukijua from the first alikuwa anashirikaiana na mama nyoni kusolve problem.
 
Pale mtomto anapomshinikiza baba afanye kitu fulani ambacho hakuwa tayari kukifanya.
 
Madaktari wasio na fikira. Hao hukumu yao kuuliwa kwa kila kifo cha mgonjwa kitakachotokea wakigoma.

Ni kweli, haiwezekani tamaa za kushibisha matumbo yao zisababishe vifo vya watu wengine.
 
Dr Wangu wa Muhimbili anasima

"" mgomo hakuna watu wanaendelea na kazi kama kawaida vikao bado vinaendelea"" mwisho wa kunukuu

Sasa tumuamini Doctor wa wapi??? maaana mgomo hakuna:juggle:

Hizi ndio dharau zenyewe tunazopigia kelele....yaani wewe unamiliki Daktari..wa kwako?! Ndio maana hajagoma labda..maana mwenzetu anamilikiwa!
 
Anza kuuliwa wewe huna jipya,wewe ni nani mpaka utake mwenzio auliwe kama hupendi jiue haya yote hutayaona
 

Nilikuwa nasikia tu ila nimekuja kuamini madaktari wakitanzania wana ufinyu wa fikra, hivi mawaziri wakijiuzulu ndio hayo wayatakayo yatakuwa materialised?. Hawana uhakika na hilo, kwa hiyo kujiuzulu kwao sio solution kabisa. Hawa jamaa wana akili km za nyanya chungu kabisa, kuivia kwenye mboga na kuliwa basi

 
Lazima niseme kuwa tatizo kubwa ni la serikali kutokubali kusikiliza kwa vitendo madai ya madr wa ukweli. Imeruhusu siasa kuingilia professions na matokeo yake ndo haya!!!!!!
 
Dr Wangu wa Muhimbili anasima

"" mgomo hakuna watu wanaendelea na kazi kama kawaida vikao bado vinaendelea"" mwisho wa kunukuu

Sasa tumuamini Doctor wa wapi??? maaana mgomo hakuna:juggle:

Mkuu mmezoea kuendesha propaganda za siasa za maji taka,mimi kutoa habari nilizopokea simaanishai nafanya ushabiki kama unavyoelekea wewe,kimsingi intern doctors wamemaliza kikao chao na specialist ndo nimeambiwa wako huko Russian culture,sasa badala tutoe mawazo chanya ya kuokoa mgomo wengine mnaingiza propaganda.hiyo ni juu yenu,ila source ya taarifa zangu nimezipata kuotka kwa mdogo wangu ambae anafanya hapo.ukipenda amini ukipenda endelea kupiga ushabiki.
 
Hizo ni porojo tu, watabana wataachia kwa kuwa wengi wanafuata mkumbo wa frustrated individuals ambao they have nothing to lose

Yo are also a frustrated frog,Be serious on your public display,you can fool some people same time, but not all the people all the time,This is also special to all those who sent you to post the above irrelevant post.No Thankx, Aruta Continua.
 

Ndugu yangu Ribosome nadhani wewe ndiyo mpya katika kufatilia sakata hili ama umeshalewa na propaganda za viongizi wetu hawa. Dai la kuondolewa kwa Viongozi lilikuja mara baada ya Waziri wa Afya kutoa taarifa ya UONGO na ya kiuchonganishi BUNGENI. Dai la kuondolewa kwa Mawaziri hawa ni miongoni mwa madai ya awali kabisa. Hata baada ya Kamati ya Bunge kulishughulikia swala hili, lilimshauri waziri mkuu hivyo. Pia Waziri mkuu alipokutana na Madaktari Tarehe 9 mwezi wa pili alihaidi kulishughulikia kwa kumshauri Rais hivyo. Sasa iweje leo waseme ni dai jipya???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…