vimon
Senior Member
- Apr 3, 2008
- 183
- 195
Katika pita pita zangu kwenye baadhi ya hospitali madaktari wengi wamemshukuru Mh Pinda kwa kuwa rahisishia kazi kwani wanasema siku mpya inaanza saa sita usiku basi madaktari wote wataacha kufanya kazi ifikapo saa sita usiku leo hii asubuhi hospitali zitakuwa nyeupe. Sitataja hospitali wala majina ya madaktari hao kwa usalama.
Mwana JF jichunge usije ukapata matatizo baada ya saa sita usiku inawezekana usipate huduma yoyote.
Nchi hii inakwenda wapi?
Mwana JF jichunge usije ukapata matatizo baada ya saa sita usiku inawezekana usipate huduma yoyote.
Nchi hii inakwenda wapi?