PPM
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 838
- 228
Mgomo sasa umetangazwa rasmi kuanza leo. Ananilea , Bisimba na Namala shangilieni maana sasa muda wa kuvuna damu kule Muhimbili, Temeke na Mwananyamala na Kwingine umewadia ili mkaiwasilishe kwa donors wenu , FREEMASONS.
Tutakwenda Makaburini tutatupa udongo na kusema Mungu aliwapenda akawaleta duniani ,lakini BISIMBA, ANANILEA na NAMALA wamejifanya miungu watu na kuwaua. Mungu awalaze mahali pema peponi Amina.
Rubish