Leo Tar 20 May 2021 kuanzia Majira ya Asbuhi Magari ya Abiria maarufu kama Daladala Yaendayo Kigamboni Kupitia Daraja kuu la Kigamboni (Mwl.Nyerere) Yamegoma kufanya Safari zake kutoka Kigamboni hadi Karume Ilala kupitia Kilwa Road.
Sababu ni Kupinga kuhamishwa kwa Kituo kikuu cha Mabasi hayo kutoka Ferry Kivukoni hadi Kata ya Tungi. Abiria /Wananchi wengi wanapata Tabu sana muda huu.
Pia njia ya Mji Mwema kuelekea PembaMnazi wamegoma.
Sababu ni Kupinga kuhamishwa kwa Kituo kikuu cha Mabasi hayo kutoka Ferry Kivukoni hadi Kata ya Tungi. Abiria /Wananchi wengi wanapata Tabu sana muda huu.
Pia njia ya Mji Mwema kuelekea PembaMnazi wamegoma.