Mgombea mwenza kumwangusha Magufuli

Mgombea mwenza kumwangusha Magufuli

Samia Suluhu maeneo anayopiga Campaign hakika CCM haitapata kura Magufuli asipopita basi matokeo yataamuliwa mapema sana. Ile Kasumba ya mwanamke hawezi ndiyo imetawala sana huyu mwanamke haaminiki na Amepiga campaign Arusha, Kilimanjaro,Dodoma na Singida Jinamizi la Lowassa likipita huko wakati wa nyakati za mwisho wataadhirika sana mwisho uwe unatembea na Magufuli hilo Domo lako halitakusaidia.

usiwaamshe
 
Hakuna siku ambayo nilifurahi baada ya kuona tumepata mgombea mchapa kazi c John Pombe Magufuli, siku hiyo ilikuwa nzuri baada ya kuona maguful kaingia tatu bora baada ya kuwashinda makamba na membe.

Lakini siku hiyo baada ya masaa machache iligeuka kuwa chungu baada ya kutangazwa Samia Saluhu kuwa msaidizi wa magufuli, niliumia sana, nilichukia na kukosa usingizi. Lakini rafiki yangu akaniponza na kuniambia anaweza kuwa kivutio kwa wanawake na hivyo kupendwa. Nikasema sidhan embu tusubiri, lakini mpaka sasa bado sijaona haya ambayo rafiki yangu alitarajia kuyaona.

Mikutano yake haina mvuto kabisa, yani nikiangalia hawa Ukawa, mafuriko ya babu duni ndo napata wazimu, napata preshaa, natamani ningekuwa ukawa lakini nashindwaa.

Najiuliza kwa nini wasimchukue Augustino ramadhani? au hata mzanzibar yoyote mwenye ushawishiiii?? mliniboa sana siku ile

Kiukweli ccm wenzangu tukiacha unafiki hapa tumebugi cha kuomba hapa ni mungu atusaidie tushinde mana presha ipo juu sana.
 
Hapo ccm wameshakosa kura za wanawake mana huwa ngumu kumpigia mwanamke mwenzao. Pia perception ya jamii kwa mwanamke. Hapo wamebugi babu duni ana mafuriko hadi mikoa ka Tanga bagamoyo kuliko ngome ya CCM.
 
Hapo ccm wameshakosa kura za wanawake mana huwa ngumu kumpigia mwanamke mwenzao. Pia perception ya jamii kwa mwanamke. Hapo wamebugi babu duni ana mafuriko hadi mikoa ka Tanga bagamoyo kuliko ngome ya CCM.
Mbaya zaidi kule kwao zanzibar wengi kama sio wote ni waislam ukitoa wachache wakristo na wasio na dini na dini nyingine, kwa waislam mwanamke huwa hawi kiongozi hata dunia igeuke juu chini na hata wanawake wenzao wanajua hilo, kwa hilo magufuri ahesabu maumivu, pili aliwatibua wazanzibari kwa kuiba kura bunge la katiba ili akidi itimie, hiyo pia ni hasara kwake.

Kuhusu muungano wazanzibari wote wako kitu kimoja sio ccm wala kafu wanataka serikali 3,ccm sio tu kwamba walichemka ila kwa kiburi chao baada ya kuona wamemkata bwan mafuriko wakajua kila kitu mteremko wanaweza kupitisha hata kenge akashinda uchaguzi,sasa yamewatokea puani.

Ccm nendeni kuzimu.
 
Zanzibar hawataki kabisa kumuona huyo mama. Kubwa ni issue ya katiba wazanzibari wanataka mamlaka yao kamili. Yule mama kaongoza kuipeperusha. Subiri akienda kuomba kura huko itakuwaje? i bet CCM wataenda kundi kubwa mno la wapambe ktk kuificha hiyo aibu.
 
Hapo ccm wameshakosa kura za wanawake mana huwa ngumu kumpigia mwanamke mwenzao. Pia perception ya jamii kwa mwanamke. Hapo wamebugi babu duni ana mafuriko hadi mikoa ka Tanga bagamoyo kuliko ngome ya CCM.

Kwanza maumivu aliyotuachia Ane Makinda bado tunayo, Vote for Ukawa
 
Wala usiumie Mkuu. Mafuriko hayo unayoyaona kwa babu duni wanaenda kuangalia comedy. Jamaa anavyoongea huwezi kumtofsutisha na akina Kingwendu
 
Back
Top Bottom