Hivi atawaombaje kura wazazibari? Nauliza tu.
Nitawashangaa sana wazanzibar kama watampa kura huyu mama na kuzima ndoto ya wazanzibar ya kujipatia mamlaka kamili ndani ya muungano. Ndiye amezima ndoto za wazanzibar, ni fursa nzuri wazanzibar kuonyesha hasira zenu maana kinachofanyika huyu anataka kuzawadiwa kwa kuwasaliti maoni yenu leo eti awe makamu wa rais. Mkimchagua mtakuwa mmezika ndoto ya zanzibar kujipatia mamlaka na mtabakia mkilalamika
Sasa wewe Chadema una washauri Ccm.Acheni kuhangaika na mambo yasiyowahusu.Mawazo yako kamshauri Fisadi Lowasa Na Movement ya kidini(kilutheri)
Kuna sababu 3 zitakazopelekea CCM ianguke kwa kuwa na mgombea mwenza mwanamke:
1. Mfumo dume bado una nguvu katika makabila mengi hususani vijijini. Wananchi wengi hawaamini kama wanaweza kuongozwa na rais mwanamke hivyo kumnyima kura.
2. Kushindwa kwa Bi.Anne Makinda katika kulisimamia bunge lililopita ambalo lilitawaliwa na ubabe na kubebwa CCM. Ni katika bunge hili wananchi wameshuhudia sheria mbalimbali za hovyo zikipitishwa kibabe na serikali chini ya ulinzi mkali wa spika Anne.
3. Mgombea mwenza ndiye alikuwa makamu Mwenyekiti wa Bunge la Katiba; chini ya usimamizi wake tulishuhudia kanuni zikivunjwa ili kuichakachua katiba ya wananchi.
Ni katika kipindi hicho tulishuhudia matusi, kejeli, na vitimbi kutoka kwa wajumbe, huku wakitetewa na uongozi wao. Na kutokana na uchakachuaji huo ndipo ukawa ilizaliwa rasmi chini ya mgombea huyu.
Leo hii anaenda kwa wananchi waliotoa maoni ya katiba kutaka achaguliwe urais...ccm na Magufuli mnalo mwaka huu.
Dahh...jk anavyohahaa...
Kimeo kingine hicho kinasubiri kuingizwa kwenye uongozi wa nchi yetu!hivi ana elimu ya aina gani huyu,anahutubia wana ccm au wananchi?
View attachment 281172
Kimeo kingine hicho kinasubiri kuingizwa kwenye uongozi wa nchi yetu!hivi ana elimu ya aina gani huyu,anahutubia wana ccm au wananchi?
View attachment 281172
Kimeo kingine hicho kinasubiri kuingizwa kwenye uongozi wa nchi yetu!hivi ana elimu ya aina gani huyu,anahutubia wana ccm au wananchi?
View attachment 281172