Mgombea mwenza kumwangusha Magufuli

Mgombea mwenza kumwangusha Magufuli

Samia Suluhu maeneo anayopiga Campaign hakika CCM haitapata kura Magufuli asipopita basi matokeo yataamuliwa mapema sana. Ile Kasumba ya mwanamke hawezi ndiyo imetawala sana huyu mwanamke haaminiki na Amepiga campaign Arusha, Kilimanjaro,Dodoma na Singida Jinamizi la Lowassa likipita huko wakati wa nyakati za mwisho wataadhirika sana mwisho uwe unatembea na Magufuli hilo Domo lako halitakusaidia.
 
Hututaki Makamu wa Rais mla KUNGU!

Kila wakati macho yake as if anasinzia.
 
Ccm ishashindwa mpaka sasa, makufuli anaonekana ameshakata tamaa, huyu mama (Suluhu) nae hana mchango wowote, wananchi hawamwelewi kabisa. Hana mvuto kabisa, na yeye ameshajikatia tamaa. Ni kama vile magufuli Hana mgombea mwenza.
 
Lowasa ameingia ukawa kuua upinzani,maana sasa wapinzani hawana ujasiri wa kukemea ufisadi,maana mafisadi wamevamia ukawa
 
Ccm ishashindwa mpaka sasa, makufuli anaonekana ameshakata tamaa, huyu mama (Suluhu) nae hana mchango wowote, wananchi hawamwelewi kabisa. Hana mvuto kabisa, na yeye ameshajikatia tamaa. Ni kama vile magufuli Hana mgombea mwenza.

Dah sijui CCM walikosea wapi kwenye kupanga safu ya kuchukua URAIS mwaka huu
 
Lowasa ameingia ukawa kuua upinzani,maana sasa wapinzani hawana ujasiri wa kukemea ufisadi,maana mafisadi wamevamia ukawa
====

Kama mafisadi walikwa wanaisadia CCM kushinda, na sasa mafisadi hao wamehamia UKAWA, basi UKAWA watashinda.
 
Mafisadi kutoka ccm kwenda chadema/ukawa hilo ni tatizo pia. Kwan akili waliyokuwa nayo ccm wanaihamishia chadema/ukawa. Mafisad go ahead from ccm to ukawa ili ccm ibaki pure.
 
Afu anamtumia yule mama wa mbunge wa nkenge Asunta, aliyeshindwa kura za maoni na aliyekua akibwabwaja bunge la katiba, ndo anamuharibia kabisa.
 
Miaka isiyopungua 30 CCM ilikuwa busy kujiandalia nyumba yao ya kudumu hata hivyo mazishi ni tarehe 25 October.
 
Ufisadi chakula chenu miaka 50+ wacha upinzani tuuonje.nasie
 
Ccm ishashindwa mpaka sasa, makufuli anaonekana ameshakata tamaa, huyu mama (Suluhu) nae hana mchango wowote, wananchi hawamwelewi kabisa. Hana mvuto kabisa, na yeye ameshajikatia tamaa. Ni kama vile magufuli Hana mgombea mwenza.

Aisee tayarikabisa. Magufuli amechoka na wajua jamaa huwa anatumia nguvu nyingi kufanya mambo. Sasa Kampeni hizi ambazo yeye anakuja ongea sera za Kikwete na Mkapa ambazo hazitimiliziki wakifika wakina Sumaye na Lowassa wana toa facts. Ni noma ati. Huyu mama ashukuru mungu watanzania wamekatazwa ile zomea zomea. Vinginevyo angesha mwaga maji jukwaani mida hii.
 
Back
Top Bottom