Dr Matola PhD
Platinum Member
- Oct 18, 2010
- 61,430
- 108,589
Mume wa nini nisipoandika historia yoyote nchini? Mume nitaacha tu historia wa watoto,ambao nikiamua naweza ku adopt ila nchi na dunia kwaujumla wanamsikia huyu mama, wengine mnaishi kwaajiri ya wake na waume zenu wengine tunaishi kwaajiri ya ku touch the lives of the people and make history even when we are gone majina yetu yaendelee kuwepo miaka nenda rudi, ila kama jina utalipata kwasababu yakua na mume basi ukifariki ndio mwisho wako (what a boring life). When I die I want the world to know that I was here na huyo mama ndio anachokifanya.
Unasumbuliwa na ugonjwa wa Stress za kutoswa.