Mgombea mwenza kumwangusha Magufuli

Mgombea mwenza kumwangusha Magufuli

Ngoja tumsubili fisadi mkuu na kubwa la makapi Lowassa kama hatasoma hotuba yake kwenye karatasi na degree yake ya Sanaa na maigizo. Lowassa hata akiitwa kutoa neno kwenye birthday anasoma karatasi tena bado anakoseakosea kusoma kama mtoto anaejifunza kusoma. So kabla hujamnyooshea kidole mwenzio, toa kwanza kibanzi kwenye jicho lako. Huu ni mwaka wa Magufuli na Samiah whether you like or not!
 
Kuna Mgombea anajaza Mafuriko then Hotuba yake haizidi maneno kumi, People's Power, Tutafute mabadiliko nje ya Ccm, Nachukia Umaskini, Mie Rafiki binafsi ni Rafiki wa Maboda boda kwahereni!
 
unapotaja aibu za mwenzako fikiria zako kwanza, mapungufu ya kusoma makaratasi yameonekana hata kwa mpendwa wetu tangu pale bahari beach na watu jana walikuwa wanajaribu kuelezea sifa za kiongoz wanayemtaka, yani sio lazima awe mzungumzaji au mtoa hotuba kali sana sasa leo mama wa bunge la katiba naye ni kimeo kisa kasoma hotuba, sasa ikitokea mzee wetu akasoma naye atakuwa kimeo?
 
Kimeo kingine hicho kinasubiri kuingizwa kwenye uongozi wa nchi yetu!hivi ana elimu ya aina gani huyu,anahutubia wana ccm au wananchi?

View attachment 281172
ACha kutokwa na povu kwa vitu vidogo, sasa hivi tunapima hoja hata akisoma kwenye jiwe. Jana Baba yenu mamvi kashindwa kuongea hadi na Mkewe utadhani mkewe ndiye mgombea urais. haya maoni pelekeni CHADOMO kwanza wayarekebishe
 
unapotaja aibu za mwenzako fikiria zako kwanza, mapungufu ya kusoma makaratasi yameonekana hata kwa mpendwa wetu tangu pale bahari beach na watu jana walikuwa wanajaribu kuelezea sifa za kiongoz wanayemtaka, yani sio lazima awe mzungumzaji au mtoa hotuba kali sana sasa leo mama wa bunge la katiba naye ni kimeo kisa kasoma hotuba, sasa ikitokea mzee wetu akasoma naye atakuwa kimeo?
wala kesho sio mbali tusubiri tutajionea wenyewe ila kikubwa HAWATAKUWA NA SERA, PILI MGOMBEA ATASAIDIWA KUZUNGUMZA YAANI AKIONGEA SANA NI NUSU SAA
 
Sasa wewe Chadema una washauri Ccm.Acheni kuhangaika na mambo yasiyowahusu.Mawazo yako kamshauri Fisadi Lowasa Na Movement ya kidini(kilutheri)

Tulia wewe ikuingie vizuri, dawa, upone
 
Kinana kweli mwanajeshi, kamtanguliza mama mikoa ya kaskazini kupima upepo. Halafu ataenda yeye mwenyewe kuwaweka sawa halafu ndo kitu Alinselema kifuate kumaliza mchezo.
 
Kinana kweli mwanajeshi, kamtanguliza mama mikoa ya kaskazini kupima upepo. Halafu ataenda yeye mwenyewe kuwaweka sawa halafu ndo kitu Alinselema kifuate kumaliza mchezo.

Yaani na huyu mama ndio awe rais, ccm waache dharau
 
Mara mia wangemteua bi.Anna makinda kuliko huyu mama aliyezima ndoto za matarajio ya watanzania kupata katiba ya wananchi
 
sasa wewe chadema una washauri ccm.acheni kuhangaika na mambo yasiyowahusu.mawazo yako kamshauri fisadi lowasa na movement ya kidini(kilutheri)

namna ya kumjua mtu mwenye upeo mdogo, unaweza kutazama maandiko yake...lowasa angekuwa fisadi angekuwa amefungwa...ccm ni tatizo na wewe ni tatizo mojawapo...amka acha kulala...kuna rais tanzania asokuwa na dini fulani?..mfano nikitaka kufafana nawe naweza kusema...marais wote waislamu walotawala tanzania wame underperform...nitakuwa sahihi? Bila shaka nitakuwa sitajetenda haki hata kama ni kweli
 
mmekosa cha kumsema JEMBE Magufuli mmeamua kuhamia kwa mgombea mwenza hehe! Kweli malofa mmeishiwa
 
Walahi tungezubaa huyu mkwere angetuwekea manzi ikulu :roll:Sijuwi hii jinsia imemfanyeje mswazi huyu daaa
 
Anna Makinda Sio Mzanzibar..Na Samia Sio Rais Ni Makamu Wa Rais

Na aangalie orodha ya Makamu wa Rais, Dr. Omary, Dr. Shein, Dr. Bilal.....
Kuna kitu flani utakiona hapo...
Chunguza njomba...utabaini 😂
 
sasa wewe chadema una washauri ccm.acheni kuhangaika na mambo yasiyowahusu.mawazo yako kamshauri fisadi lowasa na movement ya kidini(kilutheri)

namna ya kumjua mtu mwenye upeo mdogo, unaweza kutazama maandiko yake...lowasa angekuwa fisadi angekuwa amefungwa...ccm ni tatizo na wewe ni tatizo mojawapo...amka acha kulala...kuna rais tanzania asokuwa na dini fulani?..mfano nikitaka kufafana nawe naweza kusema...marais wote waislamu walotawala tanzania wame underperform...nitakuwa sahihi? Bila shaka nitakuwa sitajetenda haki hata kama ni kweli
 
Back
Top Bottom