Hapo ni waziri mmoja alitengwa na Magufuli, sasa anamshawishi mama ashushe mkeka ili apate nae.
Hata hivyo ubashiri wake ni feki.
Mfano moyo wa Jenister kuwa kundi Hangaya?
Bi Tulia naye?
Hapo ni waziri mmoja alitengwa na Magufuli, sasa anamshawishi mama ashushe mkeka ili apate nae.
Hata hivyo ubashiri wake ni feki.
Mfano moyo wa Jenister kuwa kundi Hangaya?
Let them kill eachother, after all they're animals.CHANZO SAHIHI
Kuna Mgongano Mkubwa sana ambao unaitesa Serikali Na CCM.
Juzi maeneo ya Area C Ndani ya Kihoteli kidogo Double K Dodoma haya yamebainika,
Hakuna jambo liliwashtua watu kama Magufuli kuondoka Hasa Wale walikuwa wanamsujudu,
Wale akina Kesi, Mlinga, Ndugai na Msukuma Bungeni walikuwa wanaomsujudu Sana Magufuli kupita kiasi
Maumivu ya Polepole na Bashiru ni Kuona waliowadharau wameshika hatamu.
Makamu wa Rais wa Magufuli alidharauliwa Sana kiasi kwamba watu walishindwa kumuhusisha kwa Mambo Mengi na kwenda kwa Namba Moja kwa Moja , lakini amekuja kuwa Mkuu wao,
KIPINDI CHA SHULE YA UONGOZI CHA POLEPOLE
Walio Nyuma ya scenario hii ni wafuatao
1. Mkumbo Kitila
2. Pole pole
3. Bashiru
4. Mr Mtagwaba wa Dodoma
5. Msukuma
6. Ndugai
Wanaopinga haya Mambo na Kumuunga Mkono Mama Samia Ni wafuatao
1. Professor Sospeter Muhongo
2. Rweyemamu alokuwa Ikulu
3. Mzee Warioba
4. Akson Tulia
5. Rose Banji
6. January Makamba huyu Kuna kundi la watu Zaidi 20 wamemwagwa mtandaoni Kukabiliana naye
7. Jenester
8. Ummy Mwalimu
9. Mzee Mwingi
10. Bernard Membe
11. Nchemba japo Ni bendera fuata upepo Kama kigwangalla
Wazee wengine hawaoneshi Kuwa Na Upande kama Jakaya na Butiku wameendelea kukweka kutoa ya Moyoni
Huyu ni Magu damu.alianza kampeni Mbeya miaka 3 kabla huku sheria hairuhusu.Kaacha kwao kyela ila ccm wenye mbeya kimyaBi Tulia naye?
Huyu ni Magu damu.alianza kampeni Mbeya miaka 3 kabla huku sheria hairuhusu.Kaacha kwao kyela ila ccm wenye mbeya kimya
Eti Kikwete hana upande,ndo uwezo wako wa kujua na kufikiri umeishia hapo?
MengiHadithi yako inatufundisha nini
Kivuli chake kinawatesa waliokuwa wafuasi wake. Ni kama hawaamini kwamba amekwisha lala usingizi wa milele.Wakubwa, Mzee baba JPM ashalala. Hatafufuka na ukurasa wake umefungwa.
Rais SSH amechukua kijiti kwa mujibu wa katiba yetu. Na kwa madaraka ya Rais kuanzia VP mpaka asie na cheo, we all serve her pleasure.
Kwa msingi huu, sioni kwanini kuwa na team JPM wakati JPM hayupo. Angekuwa labda msituni anapigania kurejea kungekuwa na mantiki ya kuwa na team JPM.
Watanzania tuishi kwa kuheshimu misingi ya katiba yetu. Nataka kuamini JPM aliteua SSH kama VP wake kwa muhula wa pili 2020 akiwa na imani nae kumsaidia majukumu yake.
Kuanzaia March 19, 2021, Madam President SSH ndie CinC na tunawajibika kumuunga mkono kwa yale anayofanya yenye maslahi ya taifa. Kama kuna pahala anapokosea, tuna nafasi ya ku-critique na kutoa hoja mbadala afanyeje ili Tanzania tutayoitaka tuione ikitokea tungali hai na kwa faida ya vizaji vijavyo.
Maadui wa nchi hii bado ni Umasikini, Ujinga na maradhi, kama tukijikita kwenye kuwakabili hao maadui zetu, itakuwa na tija kwetu kuliko kubaki tunabishana na team JPM na SSH wakati hawa wawili walichukua form ya Urais wa JMT 2015 na 2020 kwa pamoja.
Wanaoteseka NI wale wanaojaribu kufuta aliyoyafanya kwa nguvu zote ukiwa na mpango hauhitaji nguvu na muda mkubwa kutenda mema na yakaishi mfano Yesu alifanya kazi miaka michache Sana lakini mpaka Leo anaishiKivuli chake kinawatesa waliokuwa wafuasi wake. Ni kama hawaamini kwamba amekwisha lala usingizi wa milele.
Wanaume wawili wenye ushawishi mbele ya Samia, mumewe aliyemuoa tangu akiwa binti wa miaka 18 na JK aliyemtoa serikali ya mapinduzi akamleta kuwa bosi wa bunge maalum lakatiba, hao ndio anaowasikiliza siku zote.
Kumbe mama aliolewa akiwa bado mwali kabisa....Kivuli chake kinawatesa waliokuwa wafuasi wake. Ni kama hawaamini kwamba amekwisha lala usingizi wa milele.
Wanaume wawili wenye ushawishi mbele ya Samia, mumewe aliyemuoa tangu akiwa binti wa miaka 18 na JK aliyemtoa serikali ya mapinduzi akamleta kuwa bosi wa bunge maalum lakatiba, hao ndio anaowasikiliza siku zote.
Doh.... Kwahiyo unataka kumlinganisha Yesu na mwendazake?Wanaoteseka NI wale wanaojaribu kufuta aliyoyafanya kwa nguvu zote ukiwa na mpango hauhitaji nguvu na muda mkubwa kutenda mema na yakaishi mfano Yesu alifanya kazi miaka michache Sana lakini mpaka Leo anaishi
HuItoshe Kusema kwamba Push Gang era yao imeisha kama ilivyoisha career za kina Mike yeyote Jackson,Tyson,Jordan.
Push gang wapumzike kwa amani wakae kwa kutulia.
Mkae kwa matako mawili siyo mojaHadithi yako inatufundisha nini
Kama kuna aliekuelewa endelea naye..CHANZO SAHIHI
Kuna Mgongano Mkubwa sana ambao unaitesa Serikali Na CCM.
Juzi maeneo ya Area C Ndani ya Kihoteli kidogo Double K Dodoma haya yamebainika,
Hakuna jambo liliwashtua watu kama Magufuli kuondoka Hasa Wale walikuwa wanamsujudu,
Wale akina Kesi, Mlinga, Ndugai na Msukuma Bungeni walikuwa wanaomsujudu Sana Magufuli kupita kiasi
Maumivu ya Polepole na Bashiru ni Kuona waliowadharau wameshika hatamu.
Makamu wa Rais wa Magufuli alidharauliwa Sana kiasi kwamba watu walishindwa kumuhusisha kwa Mambo Mengi na kwenda kwa Namba Moja kwa Moja , lakini amekuja kuwa Mkuu wao,
KIPINDI CHA SHULE YA UONGOZI CHA POLEPOLE
Walio Nyuma ya scenario hii ni wafuatao
1. Mkumbo Kitila
2. Pole pole
3. Bashiru
4. Mr Mtagwaba wa Dodoma
5. Msukuma
6. Ndugai
Wanaopinga haya Mambo na Kumuunga Mkono Mama Samia Ni wafuatao
1. Professor Sospeter Muhongo
2. Rweyemamu alokuwa Ikulu
3. Mzee Warioba
4. Akson Tulia
5. Rose Banji
6. January Makamba huyu Kuna kundi la watu Zaidi 20 wamemwagwa mtandaoni Kukabiliana naye
7. Jenester
8. Ummy Mwalimu
9. Mzee Mwingi
10. Bernard Membe
11. Nchemba japo Ni bendera fuata upepo Kama kigwangalla
Wazee wengine hawaoneshi Kuwa Na Upande kama Jakaya na Butiku wameendelea kukweka kutoa ya Moyoni
VerseHadithi yako inatufundisha nini
Hilo nalo neno! Wasije wakaji'poison' wenyewe kwa wenyewe! Maana muosha...!Halafu tangu lini Marehemu akawa na kundi, ili iweje kwanza? Nyie uaneni na loganeni kama ilivyo kawaida yenu, hivi safari hii mmepanga kumlisha sumu nani?
Mama Hana Mpinzani
Wee ovyo tu. Samia kiitikadi alikua sio sahihi kwa sera na itikadi ya ccm. Ma ngo yake yamemfanya kuamini falsafa ya magharibi ndio maana wanamapinduzi enzi ya magufuli wakawa hawampi uzito. Ona baada ya kuchukua nchi alivyoegemea kwa wafanya biashara na kuachia wapigaji hela ya umma kuiba. Anajidai kutoa machozi ya mamba huku kawapa fisadi ishara kwamba sasa wanaweza kuendelea na shughuli.CHANZO SAHIHI
Kuna Mgongano Mkubwa sana ambao unaitesa Serikali Na CCM.
Juzi maeneo ya Area C Ndani ya Kihoteli kidogo Double K Dodoma haya yamebainika,
Hakuna jambo liliwashtua watu kama Magufuli kuondoka Hasa Wale walikuwa wanamsujudu,
Wale akina Kesi, Mlinga, Ndugai na Msukuma Bungeni walikuwa wanaomsujudu Sana Magufuli kupita kiasi
Maumivu ya Polepole na Bashiru ni Kuona waliowadharau wameshika hatamu.
Makamu wa Rais wa Magufuli alidharauliwa Sana kiasi kwamba watu walishindwa kumuhusisha kwa Mambo Mengi na kwenda kwa Namba Moja kwa Moja , lakini amekuja kuwa Mkuu wao,
KIPINDI CHA SHULE YA UONGOZI CHA POLEPOLE
Walio Nyuma ya scenario hii ni wafuatao
1. Mkumbo Kitila
2. Pole pole
3. Bashiru
4. Mr Mtagwaba wa Dodoma
5. Msukuma
6. Ndugai
Wanaopinga haya Mambo na Kumuunga Mkono Mama Samia Ni wafuatao
1. Professor Sospeter Muhongo
2. Rweyemamu alokuwa Ikulu
3. Mzee Warioba
4. Akson Tulia
5. Rose Banji
6. January Makamba huyu Kuna kundi la watu Zaidi 20 wamemwagwa mtandaoni Kukabiliana naye
7. Jenester
8. Ummy Mwalimu
9. Mzee Mwingi
10. Bernard Membe
11. Nchemba japo Ni bendera fuata upepo Kama kigwangalla
Wazee wengine hawaoneshi Kuwa Na Upande kama Jakaya na Butiku wameendelea kukweka kutoa ya Moyoni