kalikalanje
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 226
- 285
You are damn rightSamia hana Team hapo ila kuna team ya wenye chama chao wapigaji au msoga team
Sent using Jamii Forums mobile app
You are damn rightSamia hana Team hapo ila kuna team ya wenye chama chao wapigaji au msoga team
Sent using Jamii Forums mobile app
Maadui ndio hao?ni Umasikini, Ujinga na maradhi, kama tukijikita kwenye kuwakabili hao maadui zetu,
Man if you continue like this, you are losing your credibility! Huwa nakuamini Sana, Sasa gossiping za Nini? Let's credible news not ya midundiko, mitaani etc etcCHANZO SAHIHI
Kuna Mgongano Mkubwa sana ambao unaitesa Serikali Na CCM.
Juzi maeneo ya Area C Ndani ya Kihoteli kidogo Double K Dodoma haya yamebainika,
Hakuna jambo liliwashtua watu kama Magufuli kuondoka Hasa Wale walikuwa wanamsujudu,
Wale akina Kesi, Mlinga, Ndugai na Msukuma Bungeni walikuwa wanaomsujudu Sana Magufuli kupita kiasi
Maumivu ya Polepole na Bashiru ni Kuona waliowadharau wameshika hatamu.
Makamu wa Rais wa Magufuli alidharauliwa Sana kiasi kwamba watu walishindwa kumuhusisha kwa Mambo Mengi na kwenda kwa Namba Moja kwa Moja , lakini amekuja kuwa Mkuu wao,
KIPINDI CHA SHULE YA UONGOZI CHA POLEPOLE
Walio Nyuma ya scenario hii ni wafuatao
1. Mkumbo Kitila
2. Pole pole
3. Bashiru
4. Mr Mtagwaba wa Dodoma
5. Msukuma
6. Ndugai
Wanaopinga haya Mambo na Kumuunga Mkono Mama Samia Ni wafuatao
1. Professor Sospeter Muhongo
2. Rweyemamu alokuwa Ikulu
3. Mzee Warioba
4. Akson Tulia
5. Rose Banji
6. January Makamba huyu Kuna kundi la watu Zaidi 20 wamemwagwa mtandaoni Kukabiliana naye
7. Jenester
8. Ummy Mwalimu
9. Mzee Mwingi
10. Bernard Membe
11. Nchemba japo Ni bendera fuata upepo Kama kigwangalla
Wazee wengine hawaoneshi Kuwa Na Upande kama Jakaya na Butiku wameendelea kukweka kutoa ya Moyoni
Mkuu Maada yako ni njema sana kwa Mustakabali wa Maendeleo ya Nchi yetu.., Lakini naomba kufahamu hao wanaomuunga Mkono na wanaompinga huo Mchujo umefanyikaje hadi kuja na Orodha hiyo ya hayo Majina?
Du mkuu kweli wewe unajua jenista anamchukia mama ssh balaa namjua vzrHapo ni waziri mmoja alitengwa na Magufuli, sasa anamshawishi mama ashushe mkeka ili apate nae.
Hata hivyo ubashiri wake ni feki.
Mfano moyo wa Jenister kuwa kundi Hangaya?
.
Jennister hampendi mama haswaa nashangaa bado yupo na wizaraEti Jennister leo yuko kwa Mana duuuuu unafiki huoooo
Alie muelewa jamani anijuze na mimiKwani huyo kijora ni mTZ/ anapangua kila kitu alichopanga JPM hadi kuwarudisha kwenye mabodi watu waliothibitika kuwa wezi na wahumu uchumi,,,hana maana ni mtu wa maalimu Seif na kwa bahati mbaya katiba uchwara ndiyo iliyompa kijiti hivyo mazuzu mnaotaka katiba uchochoro isomeni hiyo ni bora rais akifa basi uchaguzi wa raisi peke yake in 90 days after funeral tosha siyo chaka la kumleta mtu aliyesoma sana kuliko wote Tanganyika,, Tundu Lissu aliyezaliwa na degree ya sheria bila kusoma na kumbe ati kasomea TZ std one hadi chuo mfyuu Someni majuu kama sisi huku mtihani hauvuji, hutizamii na kanguo kadogo wadada hawavui ili kupass,,,, rais msomi anakuja,,,mnaota saaaaana
Pambaneni kamanda mbowe ashinde kesi hii yote unayoiongelea ni sisiemu na itendelea kushika hatamu mpaka muache ugaidi...CHANZO SAHIHI
Kuna Mgongano Mkubwa sana ambao unaitesa Serikali Na CCM.
Juzi maeneo ya Area C Ndani ya Kihoteli kidogo Double K Dodoma haya yamebainika,
Hakuna jambo liliwashtua watu kama Magufuli kuondoka Hasa Wale walikuwa wanamsujudu,
Wale akina Kesi, Mlinga, Ndugai na Msukuma Bungeni walikuwa wanaomsujudu Sana Magufuli kupita kiasi
Maumivu ya Polepole na Bashiru ni Kuona waliowadharau wameshika hatamu.
Makamu wa Rais wa Magufuli alidharauliwa Sana kiasi kwamba watu walishindwa kumuhusisha kwa Mambo Mengi na kwenda kwa Namba Moja kwa Moja , lakini amekuja kuwa Mkuu wao,
KIPINDI CHA SHULE YA UONGOZI CHA POLEPOLE
Walio Nyuma ya scenario hii ni wafuatao
1. Mkumbo Kitila
2. Pole pole
3. Bashiru
4. Mr Mtagwaba wa Dodoma
5. Msukuma
6. Ndugai
Wanaopinga haya Mambo na Kumuunga Mkono Mama Samia Ni wafuatao
1. Professor Sospeter Muhongo
2. Rweyemamu alokuwa Ikulu
3. Mzee Warioba
4. Akson Tulia
5. Rose Banji
6. January Makamba huyu Kuna kundi la watu Zaidi 20 wamemwagwa mtandaoni Kukabiliana naye
7. Jenester
8. Ummy Mwalimu
9. Mzee Mwingi
10. Bernard Membe
11. Nchemba japo Ni bendera fuata upepo Kama kigwangalla
Wazee wengine hawaoneshi Kuwa Na Upande kama Jakaya na Butiku wameendelea kukweka kutoa ya Moyoni
Somo ni Bavicha na upinzani viko ICU, walidhani kwa samia itakua mteremko, alichofanya mama ni kuwapa mteremko akamwaga na mrenda ktk mteremko wamejikuta wametereza na kupitiliza hawajui uterezi unawapeleka wapi sasa...Hadithi yako inatufundisha nini
Mkuu Freddie Matuja , kwanza asante kwa hoja hii, naunga mkono hoja asilimia 100% chini ya 100% na kwa ruhusa yako, naomba kulitumia bandiko lako hili kama mbegu ya kurutubisha bandiko langu fulani.Wakubwa, Mzee baba JPM ashalala. Hatafufuka na ukurasa wake umefungwa.
Rais SSH amechukua kijiti kwa mujibu wa katiba yetu. Na kwa madaraka ya Rais kuanzia VP mpaka asie na cheo, we all serve her pleasure.
Kwa msingi huu, sioni kwanini kuwa na team JPM wakati JPM hayupo. Angekuwa labda msituni anapigania kurejea kungekuwa na mantiki ya kuwa na team JPM.
Watanzania tuishi kwa kuheshimu misingi ya katiba yetu. Nataka kuamini JPM aliteua SSH kama VP wake kwa muhula wa pili 2020 akiwa na imani nae kumsaidia majukumu yake.
Kuanzaia March 19, 2021, Madam President SSH ndie CinC na tunawajibika kumuunga mkono kwa yale anayofanya yenye maslahi ya taifa. Kama kuna pahala anapokosea, tuna nafasi ya ku-critique na kutoa hoja mbadala afanyeje ili Tanzania tutayoitaka tuione ikitokea tungali hai na kwa faida ya vizaji vijavyo.
Maadui wa nchi hii bado ni Umasikini, Ujinga na maradhi, kama tukijikita kwenye kuwakabili hao maadui zetu, itakuwa na tija kwetu kuliko kubaki tunabishana na team JPM na SSH wakati hawa wawili walichukua form ya Urais wa JMT 2015 na 2020 kwa pamoja.
Angalizo:Halafu tangu lini Marehemu akawa na kundi, ili iweje kwanza? Nyie uaneni na loganeni kama ilivyo kawaida yenu, hivi safari hii mmepanga kumlisha sumu nani?
Kuna muda nafarijika jf bado kuna vichwa...Wakubwa, Mzee baba JPM ashalala. Hatafufuka na ukurasa wake umefungwa.
Rais SSH amechukua kijiti kwa mujibu wa katiba yetu. Na kwa madaraka ya Rais kuanzia VP mpaka asie na cheo, we all serve her pleasure.
Kwa msingi huu, sioni kwanini kuwa na team JPM wakati JPM hayupo. Angekuwa labda msituni anapigania kurejea kungekuwa na mantiki ya kuwa na team JPM.
Watanzania tuishi kwa kuheshimu misingi ya katiba yetu. Nataka kuamini JPM aliteua SSH kama VP wake kwa muhula wa pili 2020 akiwa na imani nae kumsaidia majukumu yake.
Kuanzaia March 19, 2021, Madam President SSH ndie CinC na tunawajibika kumuunga mkono kwa yale anayofanya yenye maslahi ya taifa. Kama kuna pahala anapokosea, tuna nafasi ya ku-critique na kutoa hoja mbadala afanyeje ili Tanzania tutayoitaka tuione ikitokea tungali hai na kwa faida ya vizaji vijavyo.
Maadui wa nchi hii bado ni Umasikini, Ujinga na maradhi, kama tukijikita kwenye kuwakabili hao maadui zetu, itakuwa na tija kwetu kuliko kubaki tunabishana na team JPM na SSH wakati hawa wawili walichukua form ya Urais wa JMT 2015 na 2020 kwa pamoja.
Usimdharau mtu hujui kesho atakuwa naniHadithi yako inatufundisha nini
Mkuu britanicca , CCM ni chama rasmi hivyo chanzo pekee cha uhakika cha habari za CCM ni kwenye ofisi za CCM, vikao, au viongozi gazzeted wa CCM.CHANZO SAHIHI
Kuna Mgongano Mkubwa sana ambao unaitesa Serikali Na CCM.
Juzi maeneo ya Area C Ndani ya Kihoteli kidogo Double K Dodoma haya yamebainika,
Hakuna jambo liliwashtua watu kama Magufuli kuondoka Hasa Wale walikuwa wanamsujudu.