Mgeni nyumbani ambaye ni kero, mzigo na anataka kuiendesha nyumba kuwazidi hata wenyeji?

Mnawezaje kuvumilia watu wapuuzi kias hiko tena yupo ndani kwako...? Mimi binafsi ningekua nimemfukuza tena bila nauli. Akienda kunisema vibaya kwao wala sijali. Tunakufa masikini kuendekeza kusaidia watu wasio faida ktk maisha yetu ya baadae. Msaidie mama na baba yako, msaidie kaka na dada yako, wasaidie wanao hata wasipo kusaidia ila umeokoa familia yako binafs..
 
Sijui kama wewe imewahi kukutokea, lakini kwangu ndicho kinachoendelea na uzalendo unaanza kunishinda. Ni hivi, nina ndugu wa kume wa mke wangu, ana changamoto za kimaisha na kiuchumi, tunamhifadhi hapa nyumbani kwa muda, ajipange na kisha tuangalie namna gani tunaweza kumsaidia asimame kwa miguu yake mwenyewe.

Maisha si kusaidiana? Hata vitabu vya Mungu vimesisitiza kusaidiana wakati wa shida lakini kinachoendelea sasa nyumbani ni kwamba mgeni wetu amekuwa kero, amekuwa mzigo na natamani aondoke hata leo kabla hata hajasimama kwa miguu yake mwenyewe.

Tumejitahidi kumpa hifadhi na mahitaji yote muhimu, pazuri pa kulala, chakula cha uhakika, matibabu na mahitaji yote ya lazima. Anapiga kinywaji kama hana akili nzuri almost kila siku, analalamika hata baadhi ya vyakula havipendi hata kama nyumba nzima ndicho kinacholiwa kwa watu wote, ana demand apewe aina fulani ya milo, anataka 'pocket money', yaani ...

Kama umeshawahi kuwa na mgeni kama huyu kwako hebu tupe uzoefu wako!
Huyo fukuza tena haraka,mkeo anafuga mdogo wake...kuna vitu huhitaji kuomba ushauri mwanaume ndio kichwa cha familia
 
Sijui kama wewe imewahi kukutokea, lakini kwangu ndicho kinachoendelea na uzalendo unaanza kunishinda. Ni hivi, nina ndugu wa kume wa mke wangu, ana changamoto za kimaisha na kiuchumi, tunamhifadhi hapa nyumbani kwa muda, ajipange na kisha tuangalie namna gani tunaweza kumsaidia asimame kwa miguu yake mwenyewe.

Maisha si kusaidiana? Hata vitabu vya Mungu vimesisitiza kusaidiana wakati wa shida lakini kinachoendelea sasa nyumbani ni kwamba mgeni wetu amekuwa kero, amekuwa mzigo na natamani aondoke hata leo kabla hata hajasimama kwa miguu yake mwenyewe.

Tumejitahidi kumpa hifadhi na mahitaji yote muhimu, pazuri pa kulala, chakula cha uhakika, matibabu na mahitaji yote ya lazima. Anapiga kinywaji kama hana akili nzuri almost kila siku, analalamika hata baadhi ya vyakula havipendi hata kama nyumba nzima ndicho kinacholiwa kwa watu wote, ana demand apewe aina fulani ya milo, anataka 'pocket money', yaani ...

Kama umeshawahi kuwa na mgeni kama huyu kwako hebu tupe uzoefu wako!
amepewa lift anataka apige na honi
 
Simple tu, home naishi mimi, wife na dogo!
Mpuuz mwingne yyte aje kwa adabu na sababu, tena kusalimia na sio kuhamia kwangu!
 
Mama kukaa kwa mkwewe miezi2 bila sababu ya msingi, sio ugonjwa wala matatizo eti anakunwa bia

Unamruhusu kwa upendo kabisa na nauli.... ambebe mama yake warudi kwao nyumbani akakae na mama yake hadi hamu iwaishe ndio arudi nyumbani kwaķe
Miezi miwili mbona midogo sana hiyo. Unakuta mkwe anaweka kambi kwa mtoto wake karibia mwaka mzima.

Sasa anapokaa hapo ndani anaanza kufuatilia mambo mengine ambayo hayamhusu....
 
Miezi miwili mbona midogo sana hiyo. Unakuta mkwe anaweka kambi kwa mtoto wake karibia mwaka mzima.

Sasa anapokaa hapo ndani anaanza kufuatilia mambo mengine ambayo hayamhusu....
Amchukue mwanae akaendelee kumlea
 
Kwa hiyo umeamua kunianika humu!!?Sasa nasema siondoki funguo za chumba mlinipa wenyewe ili nikienda misele niwe nafunga.nasema SIONDOKI na nnakuonya USINIFOKEE ebo!!
 
Anza kuishi kama hostel.
Ukirudi umeshiba ndiii na unachokonoa meno na toothpick huku unashushia na maji kimya.
Hapana usichume dhambi ya namna hii. Kuwa muazi tu Tena ondoa hasira stress nk. Alafu kaa nao wambie utalatibu wa hapo nyumbani. Kama haitoshi Hilo ni funzo hata kwa wageni wengine watakao watembelea next time.
 
Back
Top Bottom