Janjaweed
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 13,157
- 10,656
Wakuu, Tanzania ni nchi nzuri na watu wake wana heshima ya ajabu... inasikitisha sana kuona mgeni anakuja, anatukana watoa huduma wetu na mengine mengi, lakini mara nyingi sisi kama watanzania hukaa kimya na kufunika kombe
nimesoma habari moja ya Mpakistani kuchana noti ya Tanzania nikasikitika sana na cha kwanza nilipata hisia kwamba huyu mtu ni sawa na aliyechana bendera au hata mwenye dharau ya kupindukia... hakufanya hivyo akiwa amelewa wala amekuwa provoked
Nakumbuka miezi kadhaa iliyopita raia mmoja wa kigeni alimtemea mate polisi wwetu na hatukukaa kimya, rai yangu ni kwamba tulaani kitendo hiki lakini tusiishie hapo
Kiburi hiki kinaletwa na watu wetu wa idara ya uhamiaji kutoa hivi vibali kwa njia mbadala hivyo kujishusha na kushusha hadhi ya nchi, wageni wanaona sisi sasa ni wa kununuliwa kwa dola chache hivyo sawa tu hata kutudhalilisha
Mgeni huyu ni wa NGO ya kimarekani, si ajabu dharau hizi zinatokana na mitazamo au hata mazoea ya wageni hawa nchini (dharau)... shirika lililomwajiri tayari lina wageni wengine, na inawezekana kabisa dharau hizi zimo ndani ya shirika na hasa kwa wageni waliobaki
tulaani kitendo hiki
tumulike haya na-NGO
Somo la uraia lifundishwa kwa wageni ili waelewe watanzania tuna culture yetu
nimesoma habari moja ya Mpakistani kuchana noti ya Tanzania nikasikitika sana na cha kwanza nilipata hisia kwamba huyu mtu ni sawa na aliyechana bendera au hata mwenye dharau ya kupindukia... hakufanya hivyo akiwa amelewa wala amekuwa provoked
Nakumbuka miezi kadhaa iliyopita raia mmoja wa kigeni alimtemea mate polisi wwetu na hatukukaa kimya, rai yangu ni kwamba tulaani kitendo hiki lakini tusiishie hapo
Kiburi hiki kinaletwa na watu wetu wa idara ya uhamiaji kutoa hivi vibali kwa njia mbadala hivyo kujishusha na kushusha hadhi ya nchi, wageni wanaona sisi sasa ni wa kununuliwa kwa dola chache hivyo sawa tu hata kutudhalilisha
Mgeni huyu ni wa NGO ya kimarekani, si ajabu dharau hizi zinatokana na mitazamo au hata mazoea ya wageni hawa nchini (dharau)... shirika lililomwajiri tayari lina wageni wengine, na inawezekana kabisa dharau hizi zimo ndani ya shirika na hasa kwa wageni waliobaki
tulaani kitendo hiki
tumulike haya na-NGO
Somo la uraia lifundishwa kwa wageni ili waelewe watanzania tuna culture yetu