Mgeni achana noti Mwanza Airport !

Mgeni achana noti Mwanza Airport !

Kabla ya kucomment mtu angeweza nipa the background as to why aliichana iyo noti.
Mtu hawezi kukudharau kama unajiheshim,enzi za mwalimu aliwai mdetain Mgiriki kwa kusema nchi yetu ameiweka mfukoni na kila mtu alikuwa anaiheshimu Tz.
Sasa with all of these none sense tunazosikia unadhani kuchana note kwake itakuwa kazi.
FEDHA ILIONGEA APO.
Ila nae kheri angekuwa ametoka nchi ya maana yaani Pakistani ndo anachana Hela yetu.
ILA INAUMA
 
kwani, myu kuchana hela yake ni kosa? kama mie nina euro zangu afu nikazichana, kosa lipo wapi?
 
Wakuu, Tanzania ni nchi nzuri na watu wake wana heshima ya ajabu... inasikitisha sana kuona mgeni anakuja, anatukana watoa huduma wetu na mengine mengi, lakini mara nyingi sisi kama watanzania hukaa kimya na kufunika kombe

nimesoma habari moja ya Mpakistani kuchana noti ya Tanzania nikasikitika sana na cha kwanza nilipata hisia kwamba huyu mtu ni sawa na aliyechana bendera au hata mwenye dharau ya kupindukia... hakufanya hivyo akiwa amelewa wala amekuwa provoked

Nakumbuka miezi kadhaa iliyopita raia mmoja wa kigeni alimtemea mate polisi wwetu na hatukukaa kimya, rai yangu ni kwamba tulaani kitendo hiki lakini tusiishie hapo

Kiburi hiki kinaletwa na watu wetu wa idara ya uhamiaji kutoa hivi vibali kwa njia mbadala hivyo kujishusha na kushusha hadhi ya nchi, wageni wanaona sisi sasa ni wa kununuliwa kwa dola chache hivyo sawa tu hata kutudhalilisha

Mgeni huyu ni wa NGO ya kimarekani, si ajabu dharau hizi zinatokana na mitazamo au hata mazoea ya wageni hawa nchini (dharau)... shirika lililomwajiri tayari lina wageni wengine, na inawezekana kabisa dharau hizi zimo ndani ya shirika na hasa kwa wageni waliobaki

tulaani kitendo hiki
tumulike haya na-NGO
Somo la uraia lifundishwa kwa wageni ili waelewe watanzania tuna culture yetu

Mpakistani = Mhindi.

Hawa ni wadudu katika nchi hii na kwao Watanzania ni sawa na mbwa tu.

Na ndo wafadhili wa CCM. Mutawafanya nini?????
 
ukicheka na nyani utavua mabua, next time watachana bendera kwa faini ya elfu mbili, vitu kama hivi vinanvyogusa moyo wa nchi inabidi wakosaji wapate fundisho lenye akili.
 
nilichosikia kutoka kwa watu wa karibu ni kwamba kuna watu wa kanisa katoliki wimechangia kumkingia kifua huyu jamaa pamoja na dharau zote alizoonyesha

nasikitika sana kama mzalendo huyu jamaa atatudharau sana, pia tumepata habari za madudu mengine alifanya mwaka jana kusababisha watanzania saba kufukuzwa kazi huko anapofanya kazi

sikitiko
 
tanzania ni zaidi ya uijuavyo

kila kitu kina explanation
 
habari zilizofika (uthibitisho upo) ni kwamba jamaa katumia mbinu za hongo na atarudi kazini kuendelea na kulitumikia taifa la tanzania.... waliohusika wamejulikana na wengine ni wanajdai wapiganaji


kibaya zaidi mpiganaji wetu wa mwanza kahusika kwa kushirikiana na iwe mmoja
 
unategemea nini wakati foreigner ndiye kingmarker wa tanzania?
 
Back
Top Bottom