Agrey998
JF-Expert Member
- Jul 8, 2019
- 399
- 518
Rip kwa Mzee wetu Magufuli na engineer Mfugale leo nichukue fursa hii kuwapongeza watu hawa pamoja na TANROADS kwa kazi bora ya pale barabara ya Mbezi mwisho.
Nilikuwa napita pale kwa Mishe zangu tu tena maramoja moja sana, nikaja kuona uzi wa mtu huku akitabiri kuwa uwepo wa stand ile utasababisha foleni ya kutisha nami ndipo nilianza kuzingatia muundo wa zile barabara na baada ya kupata washirika wa biashara huku ndipo nikaona engineer wa pale alitumia akili kubwa.
Magari yanayotoka Kinyerezi kwenda stendi ya mabasi njia imejitenga, wanaotokea Ubungo njia ya kwenda stand kubwa na ndogo zimejitenga kabisa, wanaotoka mikoani kuingia stand njia yao imejitenga. Nikakaa nikajiuliza sasa huo muingiliano wa kuleta foleni upo wapi. Binafsi sijaona na sijawahi kamatwa na foleni Mbezi hata ya dakika Moja.
Mliotabiri kutakuwa na foleni Nawakaribisha mniambie ambacho sikijui ili nijifunze kwenu pia .
Nilikuwa napita pale kwa Mishe zangu tu tena maramoja moja sana, nikaja kuona uzi wa mtu huku akitabiri kuwa uwepo wa stand ile utasababisha foleni ya kutisha nami ndipo nilianza kuzingatia muundo wa zile barabara na baada ya kupata washirika wa biashara huku ndipo nikaona engineer wa pale alitumia akili kubwa.
Magari yanayotoka Kinyerezi kwenda stendi ya mabasi njia imejitenga, wanaotokea Ubungo njia ya kwenda stand kubwa na ndogo zimejitenga kabisa, wanaotoka mikoani kuingia stand njia yao imejitenga. Nikakaa nikajiuliza sasa huo muingiliano wa kuleta foleni upo wapi. Binafsi sijaona na sijawahi kamatwa na foleni Mbezi hata ya dakika Moja.
Mliotabiri kutakuwa na foleni Nawakaribisha mniambie ambacho sikijui ili nijifunze kwenu pia .