Barabara ya Mbezi kwenda Morogoro,"Serikali Ilione Hili"

Alex Fredrick

JF-Expert Member
Jun 21, 2016
680
1,338
Leo Majira ya Asubui nimepata wasaa mzuri wa kutembelea Eneo la mbezi Magufuli stand na badae kuanza safari yangu kuelekea Mkoani Morogoro..

Nilichokiona kwa muda Mfupi , Barabara ya Mbezi kwenda Morogoro imezidiwa vya kutosha na foleni za magari

Hapo kama ikitokea "Ajali basi tatizo linakuwa kubwa zaidi

Serikali kupitia Wizara ya Ujenzi itumie Jicho la Tai kiliona hili haraka la sivyo miaka michache ijayo hali itakuwa Mbaya Zaidi kwa wasafiri na wasafirishaji

Pia ni vema Serikali ikaruhusu"Secta Binafsi "kuwekeza Kwenye barabara hii kama Serikali inakuwa haina fedha kwani barabara hii muhimu Kwa Ustawi wa Taifa letu

Rai yangu kwa Serikali ianze mchakato haraka wa kupanua barabara hii ili kuzidi kuharakisha maendeleo na kuleta ufanisi kwa Wananchi na Taifa letu kwa Ujumla

Alex
 
Leo Majira ya Asubui nimepata wasaa mzuri wa kutembelea Eneo la mbezi Magufuli stand na badae kuanza safari yangu kuelekea Mkoani Morogoro..

Nilichokiona kwa muda Mfupi , Barabara ya Mbezi kwenda Morogoro imezidiwa vya kutosha na foleni za magari

Hapo kama ikitokea "Ajali basi tatizo linakuwa kubwa zaidi

Serikali kupitia Wizara ya Ujenzi itumie Jicho la Tai kiliona hili haraka la sivyo miaka michache ijayo hali itakuwa Mbaya Zaidi kwa wasafiri na wasafirishaji

Pia ni vema Serikali ikaruhusu"Secta Binafsi "kuwekeza Kwenye barabara hii kama Serikali inakuwa haina fedha kwani barabara hii muhimu Kwa Ustawi wa Taifa letu

Rai yangu kwa Serikali ianze mchakato haraka wa kupanua barabara hii ili kuzidi kuharakisha maendeleo na kuleta ufanisi kwa Wananchi na Taifa letu kwa Ujumla

Alex
Endelea zaidi.....ukifika Kitonga jioni kuanzia saa 12....jioni ungeelewa....Tanroad wapo kweli ? Mlima umezidiwa unapanda zaidi saa 1 pale Lorries zimezidi....fujo kubwa sana.....hebu waje plan miaka 2 ijayo....watumie PPP wawekeze njia mvadala ya kulipia tozo .....hali ni mbaya sana Kitonga
 
matajiri wafanyabiashara wote wanatumia hii barabara kupelekea bidhaa zao mikoani ila na wao hawaoni hili tatizo.

Kuna mambo hadi unasema bora yule bwana wa chato angekuwepo tu.
 
Mwaka Jana tuliambiwa kuwa kuna mwekezaji amepatikana atajenga kutoka kibaha - MOROGORO kuanzia mwezi October mwaka huu lkn Hadi Leo hakuna kitu.
Hii nchi ingekuwa na viongozi wenye kuona miaka 50 mbele tusingekuwa na barabara za Aina hii
 
Back
Top Bottom