Ndahani
Platinum Member
- Jun 3, 2008
- 18,158
- 9,181
Mganga kasema hivyo
Mganga kasema hivyo
Kwani wakipeleka trip moja wanapewa bei gani?Njia ya haramu ni kuua tu boss!
Zingine zote ni legal way.
Asingepeleka huo unga si angefanya umalaya, umalaya si ungemzalia HIV?
Yani hilo dili lake lingetiki haki angekuwa mawinguni.
Alafu kabla mtu hajasafirisha madawa kwenda kokote huwa wanaangalia je nikikamatwa hiyo nchi ina penalty ya namna gani?
Mathalani Spain na France vifungo vyao romantic sana ila kukamatwa ni 95% out 100%.
Thailand, Taiwan ambako hela iko mingi wakikushika my friend umeisha na wakikufunga ni miaka 10 kwa grams na miaka hadi 99 kwa kilo.
Hajuwi kama Magereza ya bongo nusu ya jahanam.Hajayajua Magereza ya Tanzania narudia hajayajua!
Ni jehanam iliyoko duniani, kule si analala kwenye vitanda, vyumba vina AC ana mashuka, vyumba vina rangi tena unaweza kukuta ana roommate mmoja tu, akiamka asubuhi anakula vinono, anafanya kazi kama mazingira mazuri kama vile watu wa Benjamin Mkapa External!
.
Mwambieni, jela za Tanzania hakuna hata moja yenye AC, yenye vyumba, yenye rangi kwenye cello zake, yenye kazi rahisi, yenye vitanda kama hajawahi kuiona Jehanam na aombe sana serikali imlete hatoamini macho yake
Wewe ushapitisha ngapi mkuu?Anajua alichokifanya hiyo ni defensive mechanism!
Kuuza unga kuna raha yake bwana asikwambie mtu na kukamatwa huwa kunatokea.
Ukitia akilini hilo you'll be nervous jiulize kapitaje JNIA
Yani pale unaweza kupita hata na KG 10 scanner yao isione, Askari wasikuhisi wala mbwa.
Alafu acha roho mbaya ombea apunguziwe kifungo
Wamuachie akajengee nyumba mamake aiseehDah nimesikiliza mkasa wa huyu binti mdogo aliyekamatwa na madawa ya kulevya nchini Indonesia Mwaka 2017 na kuhukumiwa miaka 18 jela, story yake inasikitisha sana na kuhuzunisha
Kitu ambacho anakijutia zaidi ni kukamatwa wakati akiwa bado hajatimiza ndoto yake ya kumjengea nyumba Mama yake , anadai kama angetimiza ndoto yake hiyo , hiko kifungo kisingemuuma sana Kwani angejua Mama yake yupo sehemu salama ila sio sasa hivi ambapo hajui hata anakula nini na anaishi vipi na hajui kama akitoka atamkuta mama yake yupo hai au yeye mwenyewe kufia jela.
Kilichonivutia zaidi ni ujasiri aliokuwa nao wa kusimulia mkasa huo wa kuogopesha na kutisha bila kuwa na uoga wowote au huzuni.
Mungu amsaidie aweze kutumikia kifungo chake salama na kurudi uraiani
Sent from my iPhone using JamiiForums
You are insaneUharibikiwe kwa kutumia cocaine? Wewe mzima kweli
Upuuzi upuuzi tu, na nikikuvutisha Methy au Hashishi si ndio utakuwa tahira kabisa
Ahsante mkuu.Mkuu wasiliana na Milard Ayo. Aliifanya hii kitu kama "Exclusive Interview" kwa zaidi ya wiki mbili na huyo binti amnaye alieleza kila kitu.
Ndio mchungaji huyo ana jukwaa la dini!Wewe ushapitisha ngapi mkuu?
Tuonane PM please tujadiliane mawili matatu mrembo wangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
The prince Riz1 alikuwa anacheza na Heroine tu zingine sijui cocaine hakutaka hata kusikia
Kwenye iyo avatar Picha yako ni Michael Jay White. Nimekosea?