Latrice
JF-Expert Member
- Jan 30, 2020
- 2,389
- 2,369
Dammmmmmmn you're nutsYou are insane
Dammmmmmmn you're nutsYou are insane
Uwe muninamba ine sika murembo.Wewe ushapitisha ngapi mkuu?
Tuonane PM please tujadiliane mawili matatu mrembo wangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hajui huyo
Inategemea na retailer.
Rekebisha hapo andika "wao"Nyinyi wabeba madawa ndio mna roho nzuri?
Inategemea na retailer.
Mfano ukipeleka mzigo Oman labda 1kg ambazo kule atagawanya into 3-4 kilo's basi utakula hadi million 25 kwa one trip.
Yeye atauza kwa mkato wa kadi ya bank dollar 10 just imagine
True, but they ain't gonna allow you to sell Heroin and Cocaine. They'll only allow you to sell crack cocaine and cannabis.“There’s only one way to be safe in this business, to become powerful enough that no one can touch you.”
View attachment 1459708
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mkuu nenda Millard ayo ukasikilize story nzima utajua..wanakula nn ,usidakie tu.uyo dada anasema wanakula wali Na mchuzi wa mafenesi...Just imagine Wali chakula cha taifa! Bongo wali ni mpaka sikukuu au itokee bahati mbaya shirika au kiongozi atoe mchele.
Muombeni serikali imlete anahamu ya kulala chini kwenye hall kama godown la mapopo
Miaka 18 tu, ingekua hata 50 ili wengine wajifunze waache tamaa. Usipende short cut kwenye maisha
"Not everything is for everybody"
Nyinyi wabeba madawa ndio mna roho nzuri?
Watu wa aina hii wawe wanafungwa maisha au kunyongwa kabisa.
So this business is tempting....Inategemea na retailer.
Mfano ukipeleka mzigo Oman labda 1kg ambazo kule atagawanya into 3-4 kilo's basi utakula hadi million 25 kwa one trip.
Yeye atauza kwa mkato wa kadi ya bank dollar 10 just imagine
Boy. You know drugs. Nakuja pmHeroin ni balaa, hii ukimuuzia mteja after some time anakuwa zombie
Why won't they allow you to sell the top two?True, but they ain't gonna allow you to sell Heroin and Cocaine. They'll only allow you to sell crack cocaine and cannabis.
Kabebe na weweAliyekwambiya kubeba ni short cut nani?kama huna unachokijuwa hata KUSOMA COMMENTS pia ni .mchango
Sent using Jamii Forums mobile app
ninachosikitikia alikuwa bado hajakomaa sawa sawa kiakili,kwa shida zake ilikuwa ni rahisi kuhadaika.
fikiria uko ktk familia ambayo haina uhakika na jioni ya kesho,halafu unawekewa mezani deal la 10ml, ukiwa early 20s lazima uchachawe.hata akipatikana mshauri wa kukueleza madhara yake.
kuna mambo anayataja tokea mkasa umemfika unagundua kumbe bado kuna binaadam duniani,haijalishi ana rangi gani.mfano afisa aliyewasihi wenzie wasimpige risasi binti.
nayaona majuto ya binti kutoka moyoni,hasa anaposema anatamani amuone mama yake amuombe msamaha,anatamani awe anatembelewa na ndugu zake.naamini hata baada ya miaka 18 kwisha,atamkuta mama yake amuombe msamaha sababu ya nadhiri aliuojiwekea,Mungu amsaidie.
sema namshauri millard angefanya juhudi ya kumpata mama wa binti,amuunganishe naye ili binti apate amani kidogo maana inatesa sana kwakweli,Umasikini ni ugonjwa mbaya sana.