komanyahenry
JF-Expert Member
- Sep 15, 2017
- 903
- 1,351
Acha tuu, tuone maisha ya wafungwa wa keko, segerea na ukongo, kuna magereza mfungwa anapata tabu unahisi kama upo jehanamuNasikia waliachiwa wafungwa elfu 50 huko indonesia kwa ajili ya corona Ila Bahati mbaya haikua kwa foreigners
Huyo binti alikua anaomba sana serikali ya magufuli iwasaidie waamishiwe Magereza ya Tanzania kwan huko wanateseka sana na kubaguliwa
Sent from my iPhone using JamiiForums
Sent using Jamii Forums mobile app