Mfungwa Lillian aliye Hong Kong

Mfungwa Lillian aliye Hong Kong

Wenzetu kila kitu ni kwa malengo, sisi huku tunaiga tuu.
Sio kuiga, drugs ni MKOMBOZI na kuna njia ambazo naweza kukushawishi wewe uingie kwenye huo mchezo na huwezi kukataa maana utakuwa na uhakika sniffing dog hawezi ku-suspect chochote, Askari wenye uzoefu hawatakusanukia, wala scanner haitajua chochote.

Hizi common ways za ku-inject drugs kwa condom, kufunga tumboni, kuzivalia kwenye kiatu kuchana begi na kuzishonea ndani zikiwa kwenye mabahasha yaliyozungushiwa plastic, kuziweka kwenye vichupa au vikopo n.k zinaogopesha.
.
Sasa hivi kuna njia taaamu na Airport pekee inayoweza kusanukia hilo tena kwa nadra sana Africa ni OR Thambo, Cairo na King Mohammed V. Kwingineko watu wanakuja wanachukua mizigo wanasepa kilaini
 
Huyo bint kama sikosei kanakaa tbt
Kwani wakati anafanya hakujua kama iko siku atanasa

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Kunaswa hiyo ipo na unaijua toka awali tatizo ni maslahi unayoyapata, na image ya watanzania Hong Kong, China, S.A, Egypt, Indonesia n.k sio nzuri.
.
Wakijua kuna mtu kutoka Tanzania au Nigeria wana-pay attention vibaya mno yani ni kama wamemuona mtu kutoka Bogota
 
Nasikia waliachiwa wafungwa elfu 50 huko indonesia kwa ajili ya corona Ila Bahati mbaya haikua kwa foreigners

Huyo binti alikua anaomba sana serikali ya magufuli iwasaidie waamishiwe Magereza ya Tanzania kwan huko wanateseka sana na kubaguliwa


Sent from my iPhone using JamiiForums
Hajayajua Magereza ya Tanzania narudia hajayajua!
Ni jehanam iliyoko duniani, kule si analala kwenye vitanda, vyumba vina AC ana mashuka, vyumba vina rangi tena unaweza kukuta ana roommate mmoja tu, akiamka asubuhi anakula vinono, anafanya kazi kama mazingira mazuri kama vile watu wa Benjamin Mkapa External!
.
Mwambieni, jela za Tanzania hakuna hata moja yenye AC, yenye vyumba, yenye rangi kwenye cello zake, yenye kazi rahisi, yenye vitanda kama hajawahi kuiona Jehanam na aombe sana serikali imlete hatoamini macho yake
 
Sio kuiga, drugs ni MKOMBOZI na kuna njia ambazo naweza kukushawishi wewe uingie kwenye huo mchezo na huwezi kukataa maana utakuwa na uhakika sniffing dog hawezi ku-suspect chochote, Askari wenye uzoefu hawatakusanukia, wala scanner haitajua chochote.

Hizi common ways za ku-inject drugs kwa condom, kufunga tumboni, kuzivalia kwenye kiatu kuchana begi na kuzishonea ndani zikiwa kwenye mabahasha yaliyozungushiwa plastic, kuziweka kwenye vichupa au vikopo n.k zinaogopesha.
.
Sasa hivi kuna njia taaamu na Airport pekee inayoweza kusanukia hilo tena kwa nadra sana Africa ni OR Thambo, Cairo na King Mohammed V. Kwingineko watu wanakuja wanachukua mizigo wanasepa kilaini
Wakati wewe ukifurahia haya, kuna mtoto wa mwenzako ambaye unamharibu kabisa na future yake inakuwa mbaya.

Kama unahusika kwa namna moja acha, la sivyo na wewe utakamatwa siku moja na kuozea huko.

Vijana wanaharibikiwa kisa mnatafuta mali kwa njia haramu na shortcut.
 
Waste of life.
Ukiwa unafanya kitu illegal inabidi ujue kuna consequences, maisha ni magumu kwa watu wengi ndiyo doeesn't mean uchukue shortcuts kama hizi ambazo unajua the price to pay is really high, na hiyo 18 ni kama bahati baadhi ya sehemu angekula maisha kabisa. Awe mtu mwema tu sehemu nyingi ukiwa mwema gerezani baada ya miaka kadhaa wanakuachia tu si lazima akae 18 yote, anaweza gusa hata 10 peke yake au even less.
What a tragedy.
 
Hajayajua Magereza ya Tanzania narudia hajayajua!
Ni jehanam iliyoko duniani, kule si analala kwenye vitanda, vyumba vina AC ana mashuka, vyumba vina rangi tena unaweza kukuta ana roommate mmoja tu, akiamka asubuhi anakula vinono, anafanya kazi kama mazingira mazuri kama vile watu wa Benjamin Mkapa External!
.
Mwambieni, jela za Tanzania hakuna hata moja yenye AC, yenye vyumba, yenye rangi kwenye cello zake, yenye kazi rahisi, yenye vitanda kama hajawahi kuiona Jehanam na aombe sana serikali imlete hatoamini macho yake
Mkuu ushawahi fungwa bongo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe huwa sio mzima unaumwa umasikini na ujinga na bahati mbaya sana ukawa mzaliwa wa Kigoma!!!
.
Iko siku yako, hivi vitu hakuna ambaye huwa anapanga vimtokee, na hata ukikikwepa kama wewe umeandikiwa kuishi jela hakika utaishi kwa namna yoyote.
Hivi watanzania kwanini wanafiki kiasi hiki? Unabeba madawa halafu unasema hukupanga kikutokee? Mimi nasema aongezewe miaka huyo
 
Dah nimesikiliza mkasa wa huyu binti mdogo aliyekamatwa na madawa ya kulevya nchini Indonesia Mwaka 2017 na kuhukumiwa miaka 18 jela, story yake inasikitisha sana na kuhuzunisha

kitu ambacho anakijutia zaidi ni kukamatwa wakati akiwa bado hajatimiza ndoto yake ya kumjengea nyumba Mama yake , anadai kama angetimiza ndoto yake hiyo , hiko kifungo kisingemuuma sana Kwani angejua Mama yake yupo sehem salama ila sio sasa hivi ambapo hajui hata anakula nini na anaishi vipi na hajui kama akitoka atamkuta mama yake yupo hai au yeye mwenyewe kufia jela.

Kilichonivutia zaidi ni ujasiri aliokua nao wa kusimulia mkasa huo wa kuogopesha na kutisha bila kuwa na uoga wowote au huzuni.

Mungu amsaidie aweze kutumikia kifungo chake salama na kurudi uraiani


Sent from my iPhone using JamiiForums
Haramu haina budi adhabu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ninachosikitikia alikuwa bado hajakomaa sawa sawa kiakili,kwa shida zake ilikuwa ni rahisi kuhadaika.

fikiria uko ktk familia ambayo haina uhakika na jioni ya kesho,halafu unawekewa mezani deal la 10ml, ukiwa early 20s lazima uchachawe.hata akipatikana mshauri wa kukueleza madhara yake.

kuna mambo anayataja tokea mkasa umemfika unagundua kumbe bado kuna binaadam duniani,haijalishi ana rangi gani.mfano afisa aliyewasihi wenzie wasimpige risasi binti.

nayaona majuto ya binti kutoka moyoni,hasa anaposema anatamani amuone mama yake amuombe msamaha,anatamani awe anatembelewa na ndugu zake.naamini hata baada ya miaka 18 kwisha,atamkuta mama yake amuombe msamaha sababu ya nadhiri aliuojiwekea,Mungu amsaidie.

sema namshauri millard angefanya juhudi ya kumpata mama wa binti,amuunganishe naye ili binti apate amani kidogo maana inatesa sana kwakweli,Umasikini ni ugonjwa mbaya sana.
 
Hivi watanzania kwanini wanafiki kiasi hiki? Unabeba madawa halafu unasema hukupanga kikutokee? Mimi nasema aongezewe miaka huyo
zingatia umri mkuu na historia ya kipato.

binti alikuwa ndio tumaini la familia,usiwaze jumla jumla utajichulia mkuu.
 
ninachosikitikia alikuwa bado hajakomaa sawa sawa kiakili,kwa shida zake ilikuwa ni rahisi kuhadaika.

fikiria uko ktk familia ambayo haina uhakika na jioni ya kesho,halafu unawekewa mezani deal la 10ml, ukiwa early 20s lazima uchachawe.hata akipatikana mshauri wa kukueleza madhara yake.

kuna mambo anayataja tokea mkasa umemfika unagundua kumbe bado kuna binaadam duniani,haijalishi ana rangi gani.mfano afisa aliyewasihi wenzie wasimpige risasi binti.

nayaona majuto ya binti kutoka moyoni,hasa anaposema anatamani amuone mama yake amuombe msamaha,anatamani awe anatembelewa na ndugu zake.naamini hata baada ya miaka 18 kwisha,atamkuta mama yake amuombe msamaha sababu ya nadhiri aliuojiwekea,Mungu amsaidie.

sema namshauri millard angefanya juhudi ya kumpata mama wa binti,amuunganishe naye ili binti apate amani kidogo maana inatesa sana kwakweli,Umasikini ni ugonjwa mbaya sana.


Umenena vyema mkuu.
 
zingatia umri mkuu na historia ya kipato.

binti alikuwa ndio tumaini la familia,usiwaze jumla jumla utajichulia mkuu.
Yeye mwenyewe alipaswa ayajue haya sio sisi, nina uhakika wewe huwezi kukubali kuwa punda
 
Nasikia waliachiwa wafungwa elfu 50 huko indonesia kwa ajili ya corona Ila Bahati mbaya haikua kwa foreigners

Huyo binti alikua anaomba sana serikali ya magufuli iwasaidie waamishiwe Magereza ya Tanzania kwan huko wanateseka sana na kubaguliwa


Sent from my iPhone using JamiiForums

Mambo ya banged up abroad hahahaha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom