Kuna kitu hakiko sawa kwako, Kigoma imetokeaje hapa?Wewe huwa sio mzima unaumwa umasikini na ujinga na bahati mbaya sana ukawa mzaliwa wa Kigoma!!!
.
Iko siku yako, hivi vitu hakuna ambaye huwa anapanga vimtokee, na hata ukikikwepa kama wewe umeandikiwa kuishi jela hakika utaishi kwa namna yoyote.
Kwamba hatoweza kupitisha drugs?Kuna kitu hakiko sawa kwako, Kigoma imetokeaje hapa?
Kama ni ndugu yako ama mtanzania mwenzetu kama kweli anahusika na huu upuuzi basi asikanyage hapa nchini
Uharibikiwe kwa kutumia cocaine? Wewe mzima kweliUnapenda watoto wako wauziwe madawa ya kulevya? Mfano huyu angefanikiwa unadhani ni vijana wangapi wa huku Kigoma wangeharibiwa maisha.
Grow up my fair lady
Wewe dini gani?Hakuna anayeandikiwa kwenda jela...au kufanya uovu..kama ni hivyo tusinge hesabiwa dhambi na kusingekuwa na mahakama!
mbingu na moto tunachagua wenyewe....
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha roho mbayaWatu wa aina hii wawe wanafungwa maisha au kunyongwa kabisa.
Just imagine Wali chakula cha taifa! Bongo wali ni mpaka sikukuu au itokee bahati mbaya shirika au kiongozi atoe mchele.Room yake wako watatu ila msosi ndio hivyo ni mwendo wa wali na mafenesi!😷
Amina
Anajua alichokifanya hiyo ni defensive mechanism!Hivi watanzania kwanini wanafiki kiasi hiki? Unabeba madawa halafu unasema hukupanga kikutokee? Mimi nasema aongezewe miaka huyo
Nimezaliwa na kukulia kota za jela hadi sasa nikirudi home kwetu bado jela
Heroin ni balaa, hii ukimuuzia mteja after some time anakuwa zombie
Wewe dini gani?
Mimi mkristo na sihesabiwi dhambi ukitaka mjadala karibu jukwaani kwangu jukwaa la dini.
Njia ya haramu ni kuua tu boss!Wakati wewe ukifurahia haya, kuna mtoto wa mwenzako ambaye unamharibu kabisa na future yake inakuwa mbaya.
Kama unahusika kwa namna moja acha, la sivyo na wewe utakamatwa siku moja na kuozea huko.
Vijana wanaharibikiwa kisa mnatafuta mali kwa njia haramu na shortcut.
Njoo jukwaa la dini nikupige msasa kama mchungaji.Wafuasi wa Kristo..ndio hawahesabiwi dhambi?
Basi Yesu alikufa bure maskini...
Au ndio kuokolewa kwa neema huko?
Hata ukiua.. kuzini.. kuiba.. nk
..bado hutahesabiwa dhambi pia?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao watoto walishikiwa BUNDUKI WAVUTE MADAWA KWA NGUVU?Wakati wewe ukifurahia haya, kuna mtoto wa mwenzako ambaye unamharibu kabisa na future yake inakuwa mbaya.
Kama unahusika kwa namna moja acha, la sivyo na wewe utakamatwa siku moja na kuozea huko.
Vijana wanaharibikiwa kisa mnatafuta mali kwa njia haramu na shortcut.
Acha roho mbaya
Hata huyo bint hakushikiwa bunduki abebe ni tamaa zake tu, kwahiyo kilichomkuta ni haki yake